kwa nini Barca wameanzia ugenini ktk mechi zote za mtoano msimu huu?

kwa nini Barca wameanzia ugenini ktk mechi zote za mtoano msimu huu?

ni mpango wa kuzipeleka fainal timu za spain,nililiona tangu mwanzo!
 
barca wataendelea kushinda mpaka pal uongozi wakina platini utakapo koma..

Ndetichia umeongea madini ambayo Mwafrikahalisi anayajuwa lakini kashindwa kuyaweka bayana...

Forza Ndetichia
 
Barca hata mkitaka mechi zote mbili icheze ugenini wala siyo dawa, wale ni mziki mwingine ni next level.

Barca ktk rekodi yao ya Mafanikio ya kuchukua kombe la ulaya wako sawa na Nyati Dume Clarence Seedorf.
Barca wamebeba champions League mara 4 sawa na Clarence Seedorf anayechezea klabu yenye mafanikio zaidi hapa Ulimwenguni yaani AC Milan...95-98-2003-2007

Lakini Barca wamezidiwa mafanikio ya kulibeba kombe hilo na Mlinzi wa zamani wa AC Milan aliyeitumikia timu hiyokwa takriban miaka 25 huyu si mwingine bali ni Simba Dume hapa namzungumzia PAOLO CESARE MALDINI aliyelibeba kombe hilo mara 5...89-90-94-2003-2007...

So Barca ni ushuzi tu...
 
Wadau naona wote mmechangia ila sijaona aliyetoa jibu sahihi katika hii hoja...Ni hivi miaka ya nyuma walikuwa wanachagua kwa kuzingatia matokeo yaliyotangulia katika hatua iliyopita.timu iliyofanya vizuri zaidi inapewa advantage ya kuanza ugenini..kwa mfano Chelsea walimfunga Benfica 1-0 ugenini na 2-1 nyumbani (agg 3-1) wakati Barca walidraw milan na kumfunga 3-1 AC Milan nyumbani..kwa sababu Chelsea walikuwa na aggregate sawa na Barca kwa hii old rule wangepewa advantage ya kuanzia away kwa sababu wana better away result,kwa kumfunga Benfica nyumbani kwake LAKINI old rule hii haitumiki kwa sasa badala yake wakati wanafanya draw ya hatua zote hadi fainali,sio tu draw ya nani anacheza na nani bali pia ya nani anaanzia wapi..Kwa mfano maneno ya mtangazaji " We are going for the semi final draw now,remember the first team to be drawn will be playing the first leg away.<<.balls rolling>>..Its Barcelona..so Barcelona will play the first semi final leg away against who?..<<balls rolling>>..Chelsea..so our first semifinal will be Chelsea vs Barcelona..

Asante mkuu...
 
Kiko wapi?Barca n wazush, mmewalewesha misifa wa kijnga....kama kawaida, ndo washakula ya uso, nw wakatsubr 'Nou Camp'
 
Baada ya kushuhudia mtanange wa jana na juzi nna kila sababu kungoja fainali ya bayern na chelsea!au chelsea na madrid hawa vigoli barca safari ndo imewakuta!naamini di mateo game ya marudiano atachezesha papi kwa papi formation!ramirez siku hiyo watamtaka ubaya!game itakuwa dakika 75 kwani dakika 15 drogba atazipoteza kitaalamu kwa kuhiangusha na kuwatia jazba barca
 
Kwenye mpira siku zote kuna favourite na underdog. Kwenye mpira wa kimataifa, SIKU ZOTE mechi inaanzia kwa Underdog na kumalizia kwa favourite. Ndiyo maana Chelsea imeanzia home na kumalizia ugenini. Na ndiyo maana Bayern wameanzia home na Madrid wanamalizia kama ilivyo kwa Chelsea na Barca.

Hii ndiyo sababu ya sisi kutolewa na timu za Misri maana sisi ni underdog tunaanzia home kwetu siku zote. Hii ndiyo maana Simba ilianzia Kigali maana Rwanda ni underdog kwa simba na ndiyo maana tulipopangwa na Algeria sisi tukaanzia Dar maana kwa Algeria sisi ni Wachovu(Ingawa tumewatoa). Kumbuka status hii inabadirika kutegemea na ubora wenu kwenye msimu husika.
 
Kwenye mpira siku zote kuna favourite na underdog. Kwenye mpira wa kimataifa, SIKU ZOTE mechi inaanzia kwa Underdog na kumalizia kwa favourite. Ndiyo maana Chelsea imeanzia home na kumalizia ugenini. Na ndiyo maana Bayern wameanzia home na Madrid wanamalizia kama ilivyo kwa Chelsea na Barca.

Hii ndiyo sababu ya sisi kutolewa na timu za Misri maana sisi ni underdog tunaanzia home kwetu siku zote. Hii ndiyo maana Simba ilianzia Kigali maana Rwanda ni underdog kwa simba na ndiyo maana tulipopangwa na Algeria sisi tukaanzia Dar maana kwa Algeria sisi ni Wachovu(Ingawa tumewatoa). Kumbuka status hii inabadirika kutegemea na ubora wenu kwenye msimu husika.

Ktk raundi ya pili msimu huu Arsenal alicheza na Milan na Milan walianzia home na kumalizia away...
Sasa kati ya Buluda na Arsenal nani Favourite na nani ni Underdogg?
 
Back
Top Bottom