Kwa nini benki za Tanzania hawachangamkii fursa hii?

Kwa nini benki za Tanzania hawachangamkii fursa hii?

Mabenki yetu hadi leo yanakumbatia sera za ujamaa, benki kubwa kama NMB na CRDB bado yanakomaa na Tanzania wakati wana uwezo wa kwenda nje ya mipaka na kufungua branches. Angalia equity, kcb and others
 
Mabenki yetu hadi leo yanakumbatia sera za ujamaa, benki kubwa kama NMB na CRDB bado yanakomaa na Tanzania wakati wana uwezo wa kwenda nje ya mipaka na kufungua branches. Angalia equity, kcb and others

Kaka nchi hii ni kubwa sana kiasi kwamba mpaka June 2012 ni asilimia 8% ya watanzania ndio wanatumia Huduma za kibank.ngoja kwanza zitapakae uko kijinini ndio zifikirie kwenda nje
 
Kaka nchi hii ni kubwa sana kiasi kwamba mpaka June 2012 ni asilimia 8% ya watanzania ndio wanatumia Huduma za kibank.ngoja kwanza zitapakae uko kijinini ndio zifikirie kwenda nje

Miaka kibao mnakimbiza maporini wakati hakuna cha maana/?
 
Mabenki yetu hadi leo yanakumbatia sera za ujamaa, benki kubwa kama NMB na CRDB bado yanakomaa na Tanzania wakati wana uwezo wa kwenda nje ya mipaka na kufungua branches. Angalia equity, kcb and others

Kwenda kufungua branches nje ya nchi siyo issue sana,ni kwanini wanashindwa ku-capitalize kwenye sekta ya watumishi wa hapa Tanzania ambayo wana uwezo wa kulipa mikopo yao bila problems? Please bank staffs njooni mtukopeshe haraka,
 
wanakuja sana tu mbona labda ofsin kwenu cjui lakin CRDB na nyinginezo zinatufata na kutufungulia account bure.
 
Mbona mimi napigana nao vikumbo kila siku. Na nimesha kopa mara mbili kupitia mwajiri wangu. Tena bila usumbufu wowote.

Pia kama una shida ingia kwenye website tafuta contact, piga..watakuja mara moja sana. Lakini pia katika ofisi kubwa kuna afisa utumishi anayeshughulikia mambo ya mikopo. So yeye ana contact zao wote na anasaidia kufacilitate kila ktu. In 3 days kila una kamata hela.
 
Mbona mimi napigana nao vikumbo kila siku. Na nimesha kopa mara mbili kupitia mwajiri wangu. Tena bila usumbufu wowote.

Pia kama una shida ingia kwenye website tafuta contact, piga..watakuja mara moja sana. Lakini pia katika ofisi kubwa kuna afisa utumishi anayeshughulikia mambo ya mikopo. So yeye ana contact zao wote na anasaidia kufacilitate kila ktu. In 3 days kila una kamata hela.

Nadhani wewe unaishi Dar?! Huku mikoani hali ni tofauti kabisa,watu kibao mimi nikiwa ni mmoja wao tuna salary zinazoweza kukopa hadi 25,000,000/=Tshs ila mabenki wanazingua. Hii issue ipo na mabenki wanapaswa kubadilika,
 
Mabenki yetu hadi leo yanakumbatia sera za ujamaa, benki kubwa kama NMB na CRDB bado yanakomaa na Tanzania wakati wana uwezo wa kwenda nje ya mipaka na kufungua branches. Angalia equity, kcb and others

kwa sasa CRDB wamepiga hatua ,japo si kubwa ,wanabrach Bujumbura!
 
kwa sasa CRDB wamepiga hatua ,japo si kubwa ,wanabrach Bujumbura!

Ni hatua ndogo sana kama mtoto anaetambaa. Kumbuka sasa hivi Tanzania ni hub kubwa ya biashara na mchi majirani kama zambia congo rwanda burundi uganda kenya msumbiji malawi na nyinginezo. Kwanin benki kubwa kama crdb wanashindwa ku capitalize market ya wafanyabiashara wa nchi majirani?? Wengi hatupendi kuhama benki hasa kwa transactions. Ila ukitaka kufanya biashara na zambia inabidi uingie gharama za inter bank charges kitu ambacho kama kuna crdb wanakuwa hakuna usumbufu.
Makampuni makubwa toka nje yanakuja na bank za0, transactions zote zinafanyika kwenye banks zao.
 
Back
Top Bottom