Biashara yoyote iliyofanikiwa inasiri... Kufanya kaz kama mtumwa, nidham ya pesa, akili mingi n.k
Sasa wazazi wengi ni asili kutopenda watoto wao wapitie magum waliyopata wao, hvyo kutaka kuwapitisha shortcut na hapo ndio kivumbi huanza.....
Unakuta baba n mfanya biashara mzuri lakini watoto wake wote amna anaesomea fani yake hata mmoja, yani hakuna anayeandaliwa kurithi mikoba!!!
Kurithishana biashara tumefeli lakini kwenye uchawi na uganga
tumefanikiwa....... Reason n kuwa wachawi huwaandaa warith wao mapema (kiakili na kiutendaji), pia kweny uchumi wa familia ingefanyika hvyo kisingeharibika kitu
Ushuhuda: kipindi nipo advance nilisoma PGM, darasani tulikaa na watu wa EGM.... Nilichogundua n kuwa EGM na HGE (kombi za biashara) zilikuwa na wahindi pamoja na waarabu wengi,,,,,, sisi kinakinjekitile tunakomaa na calculus!!! Jamaa wakimaliza kusoma wanaenda kufanya kaz kwenye business zao 🚶🚶🚶