ππππππππππππWonders shall never end...
Hao madereva wa bodaboda walikuvulia suruali zao ndo ukaziona??
Ama kweli Bashite ndo maana kashindwa kupambana na ushoga...
Kweli asee,Mkuu sio pikipiki pekee, hata gari jeusi linavutia, binafsi navutiwa na gari jeusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakutaka radhi...ππππππππππππ
Acha nizidi kuwasifu walimuπππππ, kweli wana kazi, ππππππππππππππππππππππhaya bhana asante kwa maoni yako
Nina upeo mdogo wa kuwasilisha hoja ikaeleweka, sasa nimewafikiria wale wanaofanya kazi ya kuelewesha watu darasani, wala usijali.Mkuu nakutaka radhi...
Nakiri nimesoma bandiko lako kwa kukurupuka...
So sorry na nimeshafuta kauli yangu kwa kudelete post yangu