Asian Tigers nazo ni nchi ndogo zisizo na madini.Vigezo gani unatumia kupima maana nijuavyo Kenya ni kainchi kadogo bila madini wala raslimali na
Wale kilichowasaidia ni kwamba wote kwa pamoja ni wachapa kazi, nchi kama Singapore ina majirani wachapa kazi wote, sasa sisi hapa tumezungukwa na wazembe hadi inatucost. Binadamu huendana kulingana na mazingira (lipo Kisayansi), ndio maana inashauriwa uhame Tandale bora ukaishi kwenye chumba cha vijakazi Masaki, ili uamke, lakini ukibaki Mbagalla, kutwa utakua unawaza kuwahi ukacheze bao na vigodoro.Asian Tigers nazo ni nchi ndogo zisizo na madini.
Mjanja "hujuwa kula na kipofu", hivyo siyo lazima uzungukwe na "wajuwaji" ili uendelee. Nyinyi ni wajuwaji hamna uchapakazi wowote ndiyo maana mpo mpo tuu.Wale kilichowasaidia ni kwamba wote kwa pamoja ni wachapa kazi, nchi kama Singapore ina majirani wachapa kazi wote, sasa sisi hapa tumezungukwa na wazembe hadi inatucost.
Simlikuwa mnaiba madini ya tz na DRC wezi wa madini wa nchi Jirani wamejificha Kenya chini ya usimamizi wa serikali yenuVigezo gani unatumia kupima maana nijuavyo Kenya ni kainchi kadogo bila madini wala raslimali na zaidi ya nusu yake ni kame tupu lakini kanaongoza kiuchumi na kushinda liinchi kama Tanzania ambalo lenyewe ni muungano wa mataifa mawili na lina rotuba nzuri kila mahali na madini kote kote na kila kitu kizuri, ila lenyewe maskini wa kutupwa.
Sasa wewe hapo mwananchi wa nchi kama hiyo maskini unatumia vigezo gani kuja kujilinganisha na Kenya.
Ona Kenya ilivyo na upweke kwenye hi ramani
View attachment 1307857
Kaka capitalism haijafanikiwa kabisa duniani, sio Kenya pekee tu, kwa ujumla Africa, South America, Asia na Caribbean note huko capitalism imeshindwa ukiacha nchi chahe kama South Korea na Singapore.Kenya ni Capitalistic state tangia day 1, lkn kwa nini imeshindwa kuwaondoa hapo? Je, tatizo ni IQ au ni nini? BTW nchi zote ambazo zimekuwa zikifwata capitalistic economic system ziko mbali sana Kiuchumi, lkn Kenya bado wana matatizo yale yale yanayozisumbua (former) socislistic states, kama chakula, tiba, malazi, na hata vitu kama maji safi ya kunywa bado ni shida, sasa kwa nini Capitalism imeshindwa Kenya?
Vigezo gani unatumia kupima maana nijuavyo Kenya ni kainchi kadogo bila madini wala raslimali na zaidi ya nusu yake ni kame tupu lakini kanaongoza kiuchumi na kushinda liinchi kama Tanzania ambalo lenyewe ni muungano wa mataifa mawili na lina rotuba nzuri kila mahali na madini kote kote na kila kitu kizuri, ila lenyewe maskini wa kutupwa.
Sasa wewe hapo mwananchi wa nchi kama hiyo maskini unatumia vigezo gani kuja kujilinganisha na Kenya.
Ona Kenya ilivyo na upweke kwenye hi ramani
View attachment 1307857
Vigezo gani unatumia kupima maana nijuavyo Kenya ni kainchi kadogo bila madini wala raslimali na zaidi ya nusu yake ni kame tupu lakini kanaongoza kiuchumi na kushinda liinchi kama Tanzania ambalo lenyewe ni muungano wa mataifa mawili na lina rotuba nzuri kila mahali na madini kote kote na kila kitu kizuri, ila lenyewe maskini wa kutupwa.
Sasa wewe hapo mwananchi wa nchi kama hiyo maskini unatumia vigezo gani kuja kujilinganisha na Kenya.
Ona Kenya ilivyo na upweke kwenye hi ramani
View attachment 1307857
Karne hii ya 21 Suala la Rutuba ya Udongo ni hoja isiyo na Mashiko,
Tazama nchi zilizopo jangwani zinatoa misaada ya vyakula kwa Nchi Maskini zenye Udongo wenye Rutuba..
Hiyo ndiyo hoja ya Mleta mada, Blind capitalism imefanya hata yale mashamba yenye Rutuba kwenye baadhi ya nchi jinga kama kenya yamekuwa mikononi mwa Wanasiasa na Wazungu wanaoishia kulima maua na Chai na kuuza kwenye mataifa yao huko ulaya na marekani, Mwananchi wa kawaida anabaki kutaabika kwenye janga la njaa, umaskini, ujinga na maradhi.
View attachment 1307998
Mwenzako juzi kati ya county 47 za kenya kashindwa kuleta county 5 tu ambazo wazungu wanamiliki ardhi...
Kwhyo heri ukakaa kimya tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Taja tano tu na wanaoyamiliki kati ya hzo 47..Tuanze na moja moja,
Suala la njaa Kenya Unalizungumziaje?
Mi Mtanzania lakin hatuna cha kujilinganisha na Kenya, Zamani tulisema demokrasia kwa sasa wanatuzidi pia,
Taja tano tu na wanayowaniliki kati ya hzo 47..
CBD ya dar unaichukuliaje kw sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako wewe unatumia reference ya Kenya au Uganda kuwa ndio nchi, kwanini usitumie reference ya Tanzania kuwa ndio nchi na hizo zenu zikawa ni nusu ya nchi?.Tatizo walikaririshwa wimbo ambao ilipokezwa mpaka kwa vijana wao.
Mizembe sana hawa, liinchi lote hilo yaani hadi uunganishe Uganda, Rwanda na Kenya ndio zitoshane na Tanzania halafu ina rotuba kila sehemu, full madini lakini maskini wa kutupwa.
Hili swali gumu mnoo, hawawezi wakalijibu yaani lazima tu watoke nje ya mada kutokana na uwezo na ufinyu wao wa kufikiri ni Mdogo mnoo,Jibu swali la why your primitive capitalist economy is still in vicious circle of poverty?