Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Kenya ni Capitalistic state tangia day 1, lkn kwa nini imeshindwa kuwaondoa hapo? Je, tatizo ni IQ au ni nini? BTW nchi zote ambazo zimekuwa zikifwata capitalistic economic system ziko mbali sana Kiuchumi, lakini Kenya bado wana matatizo yale yale yanayozisumbua (former) socialistic states, kama chakula, tiba, malazi, na hata vitu kama maji safi ya kunywa bado ni shida, sasa kwa nini Capitalism imeshindwa Kenya?