Fact...Janerose aka VIKING23 njoo umuone komora kakasirika kisa nimemlazimisha akaoge kaanza kutukana kama wewe @VIKING023
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya acheni uchafu
Naomba kujua idadi yako?Malizia kw idadi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Manake nashangazwa na hao wengi wenu hata wakiletwa pamoja hawa wafikii wale wachache wa kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaaa!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakenya acheni uchafu
Kwanini amtaki kuoga wala kutawaza mkienda chooni!? Sasa msiwaonee wivu watz kutumia sabuni Kwa wingi hata zikiwa kutoka Kenya ,vyoo vya Kenya havinaga maji wala sabuni ya kunawia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mujisugue mikuu vizuri[emoji1787][emoji1787]Sasa wauza sabuni Kenya hawana soko kama tz tunaoga mara2 hadi 3 Kwa siku wakati nyinyi hamtaki kuoga mnadumisha kacha ya kunuka mavi mitaani kwaiyo wacha sabuni zije Kwa WASAFI CLASSIC
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchumi wenu umezidiwa mara ngapi na wao??Zipo Marekani pia kule ambako uchumi wao umezidi wenu mara milioni...
Unatumia nn kufikiriNimepitia comment za kwenye huu uzi na nyingi zinachekesha kama sio kushangaza. Watanzania wamewaweka kitimoto wakenya wajieleze ni kwanini hawajafanikiwa!! What absurdity!!
Hata wakenya wakijibu....., what value will it add? Yaaaani inamsaidiaje mtanzania? Ni kama kumuuliza mtu "kwanini we ni mweusi sana?" Alafu akujibu "kwetu si weusi" then what?!!
$%^^^!!@$%^....(shaking head)
Huu mda wa kuwahoji wakenya ungetumika kusoma kitabu, faida ingeonekana.
KabisaWale kilichowasaidia ni kwamba wote kwa pamoja ni wachapa kazi, nchi kama Singapore ina majirani wachapa kazi wote, sasa sisi hapa tumezungukwa na wazembe hadi inatucost. Binadamu huendana kulingana na mazingira (lipo Kisayansi), ndio maana inashauriwa uhame Tandale bora ukaishi kwenye chumba cha vijakazi Masaki, ili uamke, lakini ukibaki Mbagalla, kutwa utakua unawaza kuwahi ukacheze bao na vigodoro.
Ukiangalia hii ramani, mataifa yenye uchumi bora, wote ni majirani halafu makajamba wa LDC wamekusanyika pamoja, Kenya tu ndio mpweke.
Sema unachotaka kusema......... its just your opinion. Nothing more!Unatumia nn kufikiri
Nimepitia comment za kwenye huu uzi na nyingi zinachekesha kama sio kushangaza. Watanzania wamewaweka kitimoto wakenya wajieleze ni kwanini hawajafanikiwa!! What absurdity!!
Hata wakenya wakijibu....., what value will it add? Yaaaani inamsaidiaje mtanzania? Ni kama kumuuliza mtu "kwanini we ni mweusi sana?" Alafu akujibu "kwetu si weusi" then what?!!
$%^^^!!@$%^....(shaking head)
Huu mda wa kuwahoji wakenya ungetumika kusoma kitabu, faida ingeonekana.
No, inaitwa common sense. Having Discusions that dont add value is stupid. Nikama tuanzw kujadili kwanini Trump hajajenga ukuta wa mexico, of what value is that?Hizo ni tabia za kike, kwani wewe unawashwa na nini? Au wanatumia bundle lako
No, inaitwa common sense. Having Discusions that dont add value is stupid. Nikama tuanzw kujadili kwanini Trump hajajenga ukuta wa mexico, of what value is that?
Sawa sawa na kumuuliza mkenya kwanini hawajafanikiwa, you have your two cents worth but thats a stupid discussion.
Unachosema ni sahihi ila umeipindisha kidogo, uzi hauongelei mapungufu ya mfumo wa kibepari, unaongelea mapungufu ya watu flani kwenye mfumo tajwa. These are two different discussions and one is not worth havingPengine wewe ndio unakosea hapa, to me hii mada makes a lot of sense na ilikuwa ni muhimu sana ijadiliwe provided that hata Tanzania sasa inaingia kwenye mfumo wa kibepari, unadhani hata wewe kwenye maisha unaweza kupiga hatua bila kujadili what went wrong or right in your previous moves? Au bila kujifunza kwenye hiyo biashara wengine wanakosea wapi? Unaweza kuanzisha biashara bila kufanya swot analysis?
Unachosema ni sahihi ila umeipindisha kidogo, uzi hauongelei mapungufu ya mfumo wa kibepari, unaongelea mapungufu ya watu flani kwenye mfumo tajwa. These are two different discussions and one is not worth having
N mkenya ninae mkubali kw kujibu kw hoja zenye mashikoHivi Tony254 una matatizo gani?, hukuwa hivi kabisa, umekua ukijenga hoja dhahifu sana siku hizi. Rais wenu anewaambia kwamba Kenya haina uwezo wa kujilisha, kwamba chakula mnachozalisha hakitoshelezi mahitaji yenu, hivyo mnalazimika kuagiza chakula toka nje, ndicho nilichokuambia, kwamba mnalazimika kuagiza chakula ili kufidia Pengo la chakula mnachozalisha, jambo la kushangaza unang'ang'ana na kwamba tumesema hamlimi chakula kabisa. Hii ni dalili kwamba sasa hivi unapoteza uwezo wa kujenga hoja, sasa unaanza kuingia ktk kundi la wakenya wengi la" mwaswast"
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona tumeanza that vicious cycle..... Ngoja niache tuHatuwezi kwenda kujifunza Uingereza au Canada, it is more relevant kujifunza toka kwa nchi ambazo kihistoria hadi mifumo ya maisha inaendana,
South Africa, Nigeria au Kenya ni mifano mizuri kwetu kujifunza pros and cons za huu mfumo.