Kwa nini Capitalism imeshindwa kuwatoa Kenya?

Kwa nini Capitalism imeshindwa kuwatoa Kenya?

Nimepitia comment za kwenye huu uzi na nyingi zinachekesha kama sio kushangaza. Watanzania wamewaweka kitimoto wakenya wajieleze ni kwanini hawajafanikiwa!! What absurdity!!
Hata wakenya wakijibu....., what value will it add? Yaaaani inamsaidiaje mtanzania? Ni kama kumuuliza mtu "kwanini we ni mweusi sana?" Alafu akujibu "kwetu si weusi" then what?!!
$%^^^!!@$%^....(shaking head)
Huu mda wa kuwahoji wakenya ungetumika kusoma kitabu, faida ingeonekana.
 
Nimepitia comment za kwenye huu uzi na nyingi zinachekesha kama sio kushangaza. Watanzania wamewaweka kitimoto wakenya wajieleze ni kwanini hawajafanikiwa!! What absurdity!!
Hata wakenya wakijibu....., what value will it add? Yaaaani inamsaidiaje mtanzania? Ni kama kumuuliza mtu "kwanini we ni mweusi sana?" Alafu akujibu "kwetu si weusi" then what?!!
$%^^^!!@$%^....(shaking head)
Huu mda wa kuwahoji wakenya ungetumika kusoma kitabu, faida ingeonekana.
Unatumia nn kufikiri
 
Wale kilichowasaidia ni kwamba wote kwa pamoja ni wachapa kazi, nchi kama Singapore ina majirani wachapa kazi wote, sasa sisi hapa tumezungukwa na wazembe hadi inatucost. Binadamu huendana kulingana na mazingira (lipo Kisayansi), ndio maana inashauriwa uhame Tandale bora ukaishi kwenye chumba cha vijakazi Masaki, ili uamke, lakini ukibaki Mbagalla, kutwa utakua unawaza kuwahi ukacheze bao na vigodoro.

Ukiangalia hii ramani, mataifa yenye uchumi bora, wote ni majirani halafu makajamba wa LDC wamekusanyika pamoja, Kenya tu ndio mpweke.
full_map-un-856d.jpg
Kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepitia comment za kwenye huu uzi na nyingi zinachekesha kama sio kushangaza. Watanzania wamewaweka kitimoto wakenya wajieleze ni kwanini hawajafanikiwa!! What absurdity!!
Hata wakenya wakijibu....., what value will it add? Yaaaani inamsaidiaje mtanzania? Ni kama kumuuliza mtu "kwanini we ni mweusi sana?" Alafu akujibu "kwetu si weusi" then what?!!
$%^^^!!@$%^....(shaking head)
Huu mda wa kuwahoji wakenya ungetumika kusoma kitabu, faida ingeonekana.

Hizo ni tabia za kike, kwani wewe unawashwa na nini? Au wanatumia bundle lako
 
Hizo ni tabia za kike, kwani wewe unawashwa na nini? Au wanatumia bundle lako
No, inaitwa common sense. Having Discusions that dont add value is stupid. Nikama tuanzw kujadili kwanini Trump hajajenga ukuta wa mexico, of what value is that?
Sawa sawa na kumuuliza mkenya kwanini hawajafanikiwa, you have your two cents worth but thats a stupid discussion.
 
No, inaitwa common sense. Having Discusions that dont add value is stupid. Nikama tuanzw kujadili kwanini Trump hajajenga ukuta wa mexico, of what value is that?
Sawa sawa na kumuuliza mkenya kwanini hawajafanikiwa, you have your two cents worth but thats a stupid discussion.

Pengine wewe ndio unakosea hapa, to me hii mada makes a lot of sense na ilikuwa ni muhimu sana ijadiliwe provided that hata Tanzania sasa inaingia kwenye mfumo wa kibepari, unadhani hata wewe kwenye maisha unaweza kupiga hatua bila kujadili what went wrong or right in your previous moves? Au bila kujifunza kwenye hiyo biashara wengine wanakosea wapi? Unaweza kuanzisha biashara bila kufanya swot analysis?
 
Pengine wewe ndio unakosea hapa, to me hii mada makes a lot of sense na ilikuwa ni muhimu sana ijadiliwe provided that hata Tanzania sasa inaingia kwenye mfumo wa kibepari, unadhani hata wewe kwenye maisha unaweza kupiga hatua bila kujadili what went wrong or right in your previous moves? Au bila kujifunza kwenye hiyo biashara wengine wanakosea wapi? Unaweza kuanzisha biashara bila kufanya swot analysis?
Unachosema ni sahihi ila umeipindisha kidogo, uzi hauongelei mapungufu ya mfumo wa kibepari, unaongelea mapungufu ya watu flani kwenye mfumo tajwa. These are two different discussions and one is not worth having
 
Unachosema ni sahihi ila umeipindisha kidogo, uzi hauongelei mapungufu ya mfumo wa kibepari, unaongelea mapungufu ya watu flani kwenye mfumo tajwa. These are two different discussions and one is not worth having

Hatuwezi kwenda kujifunza Uingereza au Canada, it is more relevant kujifunza toka kwa nchi ambazo kihistoria hadi mifumo ya maisha inaendana,
South Africa, Nigeria au Kenya ni mifano mizuri kwetu kujifunza pros and cons za huu mfumo.
 
Hivi Tony254 una matatizo gani?, hukuwa hivi kabisa, umekua ukijenga hoja dhahifu sana siku hizi. Rais wenu anewaambia kwamba Kenya haina uwezo wa kujilisha, kwamba chakula mnachozalisha hakitoshelezi mahitaji yenu, hivyo mnalazimika kuagiza chakula toka nje, ndicho nilichokuambia, kwamba mnalazimika kuagiza chakula ili kufidia Pengo la chakula mnachozalisha, jambo la kushangaza unang'ang'ana na kwamba tumesema hamlimi chakula kabisa. Hii ni dalili kwamba sasa hivi unapoteza uwezo wa kujenga hoja, sasa unaanza kuingia ktk kundi la wakenya wengi la" mwaswast"

Sent using Jamii Forums mobile app
N mkenya ninae mkubali kw kujibu kw hoja zenye mashiko
ila kwa hapa kaniangusha sana Bwanje
 
Hatuwezi kwenda kujifunza Uingereza au Canada, it is more relevant kujifunza toka kwa nchi ambazo kihistoria hadi mifumo ya maisha inaendana,
South Africa, Nigeria au Kenya ni mifano mizuri kwetu kujifunza pros and cons za huu mfumo.
Naona tumeanza that vicious cycle..... Ngoja niache tu
 
Back
Top Bottom