Kwa nini Chidumule kawachana waimbaji wa bongo flavor pamoja na wale wa dini?


kiswahili kwa wachaga ni tatizo sana njii hii!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mwanamuziki hasa lazima awe na uwezo wa kupiga angalau ala moja ya mziki kama drum, guitar au keyboard.
Hao bongo falvor na gospel flavor wanaweza?
 
mwanamuziki hasa lazima awe na uwezo wa kupiga angalau ala moja ya mziki kama drum, guitar au keyboard.
Hao bongo falvor na gospel flavor wanaweza?

Ni asilimia tano katika ya wanamuziki wote wanaojua kutumia vyombo vya muziki
 

Umeongea vitu vya msingi sana ndugu.
Kwa Tanzania, mtu akitungiwa wimbo na wenzie na yeye akauimba tu, wenzi wanamchukulia kama hawezi lolote, matokeo yake ndipo linakuja suala la kuibiana mashairi kati ya wasanii na kutafsiri nyimbo za nje kuwa katika Kiswahili. Shida ni kwamba tunaua muziki kwa namna hii. Inabidi wanamuziki wa Tanzania wakubali vipaji vya wengine, kwamba:-
---Kuna watu wanajua kuandika mashairi lakini hawezi kuimba
---Kuna watu wanajua kuimba ila hawajui kutumia ala ya muziki hata moja hata moja
---Kuna watu wanajua kuimba ila hawawezi kuandika mashairi kabisa
---Kuna watu wanajua kutumia ala, kutengeneza muziki toka katika ala, lakini hawawezi kuimba kamwe
---Kuna watu wanatunga, wanaimba na kupiga ala mbalimbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…