Kwa nini H.O.D anaitwa KIFESI


jombaa hili ni jukwaa la macelebrities na wewe ni mmoja wao?
 
Kisura haifanani hata kidogo na kisula

Umechemsha kisula

Kwa kuwa ni boss wako akuite majina ya ajabu na wewe unakubali tu haipendezi

Sawa kisura

Nakutakia kutafuta umaarufu kwema
 

Heheeeeee......hamna kitu hapa, unajaribu kujastify kwamba wewe sio ze bwabwaa... Hatudanganyiki, kifenesi...sorry kifesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…