dropingcoco
Senior Member
- Jun 21, 2008
- 124
- 11
Mimi na mke wangu tumekuwa tukitafuta mtoto kwa muda wa miezi 6 sasa. Muda mwingi mimi huwa safarini kwa shughuli za kikazi kwa hiyo kukutana huwa si mara kwa mara. Mara ya mwisho yeye kuona hedhi ilikuwa tar 13Aug,tukakutana kimwili tar 24/25 kisha nikasafiri.Leo amenipigia simu anasema ameanza kuona siku zake, mzunguko wake ni siku 28, je! tatizo litakuwa lipo wapi? Alishakwenda hospital na akaambiwa yupo sawa hana tatizo lolote, mimi nina mtoto niliempata ujanani. Wadau msaada wenu