Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,494
Bwana hata kama mlijuana; ktk mila zetu, mume anaruhusiwa kukosea na mke anapaswa kuvumilia! Wangapi, tulivyoanza uhusiano iwe ndoa au mapenzi tulijiona luckiest pipo in the whole world? Na nyuzi nyingi humu ndani including yako Naz zimekuwa ziki au kukumbusha wanawake kulinda ndoa zao, au kuonya juu ya baadhi ya vitu vinavyomkimbiza mwanaume!
While on the other hand sijaona wanaume wakifundana juu ya kupenda na kutunza family zao!
While on the other hand sijaona wanaume wakifundana juu ya kupenda na kutunza family zao!