CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Kuna watu nazani huwa wanaumia sana tena mno wanapo kutana na post mbali mbali za wadau mbali mbali zinazo sisitiza watu kuwa waajiri na sio waajiriwa
Nazani wanao umia huwa wanapotea njia kwa sababu hili jukwaa ni la Ujasiriamali na Biashara. Hili sio jukwaa la ajira.Humu hatupost jinsi ya kufanya kazi za wanaume wengine
Hili sio jukwaa la wafanyakazi, mimi binafisi huwa naamini humu ni wajasiriamali sasa kama kumbe ni tofauti basi samahani.
Ila kama wewe unahisi Post za wakina Ontarioa na wengine wengi wanao zungumzia kujiajiri kama unaoa huwa ni kero kwako iwe unapita tu.
Humu Lugha ni Ujasiriamali na si kutafuta kazi au kufanya kazi za watu wengine,
Humu kuna watu wana jiandaa na ambao tiyari wameajiri waleo waoga.
Kule jukwaa la Ajiria huwa some time na post ila huwa sipost mambo sawa na ninayo.post humu kwa sababu naamini kule kweli watu wanatafuta kazi.
HUMU KAMA KUNA WATAFUTA KAZI AU WAFANYA KAZI SAMAHANI NA WATU WA AINA HIYO WAWE WANAPITA TU
Nazani wanao umia huwa wanapotea njia kwa sababu hili jukwaa ni la Ujasiriamali na Biashara. Hili sio jukwaa la ajira.Humu hatupost jinsi ya kufanya kazi za wanaume wengine
Hili sio jukwaa la wafanyakazi, mimi binafisi huwa naamini humu ni wajasiriamali sasa kama kumbe ni tofauti basi samahani.
Ila kama wewe unahisi Post za wakina Ontarioa na wengine wengi wanao zungumzia kujiajiri kama unaoa huwa ni kero kwako iwe unapita tu.
Humu Lugha ni Ujasiriamali na si kutafuta kazi au kufanya kazi za watu wengine,
Humu kuna watu wana jiandaa na ambao tiyari wameajiri waleo waoga.
Kule jukwaa la Ajiria huwa some time na post ila huwa sipost mambo sawa na ninayo.post humu kwa sababu naamini kule kweli watu wanatafuta kazi.
HUMU KAMA KUNA WATAFUTA KAZI AU WAFANYA KAZI SAMAHANI NA WATU WA AINA HIYO WAWE WANAPITA TU