Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 727
Wapwaz na binamuz habari za asubuhi, wakubwa shikamoni, natumaini mmeamka salama wapenzi. Hebu nisaidieni katika hili kwa nini inatokea anaekupenda wewe humpendi na matokeo yake unampenda ambae anakutamani tu lakini hana upendo na wewe na mwisho wa siku anakuumiza? Kwa wasioolewa nimelenga hasa ma she kwa sababu mara nyingi wanafuatwa kwani huwez kumfata he nakumwambia nataka unioe mara nyingi wanaokuja serious unajikuta hujampenda kabisa kabisa mwe!! kwa mtindo huu mtu si unaweza kufa bila kuolewa jamani? Na kingine hivi ni lazima kuolewa? kwani wengine wana mikosi sijui kila anaekufata mwenye nia ya ndoa humpendi humpendi humpendi na kila ukijaribu unashindwa yaani hata sielewi inakuaje :crying::A S confused::A S confused::A S confused::A S confused: