Kwa nini iwe tu wachezaji wa Simba ndio wahongwe?Hamuoni kama ni kweli ni udhaifu wa viongozi?

Kwa nini iwe tu wachezaji wa Simba ndio wahongwe?Hamuoni kama ni kweli ni udhaifu wa viongozi?

Sijakuelewa kabisa. Maana umefanya kurundika maneno tu, huna kituo wala aya. Kama una mtu karibu, msimulie unachotaka kuchangia hapa, kisha aandike kwa niaba yako.

Ova
Acha hasira shabiki mandazi wewe, yanga sio level yenu hata kidogo team haina hata medali ya caf mwajiita wakubwa
 
Simba kumfunga yanga itachukua muda kidogo, Simba wanakaba, wanaonyesha ari, lakini creativity ni sufuri. Wanatengeneza nafasi chache sana, lakini bado siyo nafasi za uhakika.

Anahitajika wing mzuri mwingine zaidi ya kibu, awepo mpanzu, anatokea kushoto then unampata mtu Aina ya kinzumbi wa🔥 halafu unatafuta namba kumi mzuri zaidi ya chama na namba mbili mzuri zaidi ya kapombe, mbona yanga anakufa hata goli 4.

Alichokisema fadlu baada ya mechi ni sahihi, hata yanga wakisajili Tena, Simba wakipata hao watu tu, kuwafunga yanga haitakuwa ni stori.

Nimebahatika kuangalia yanga Bora kuliko hii, so nina uhakika na ninachokisema.
Kwahiyo wakati simba akiboresha kikosi kama ambavyo umeeleza ndugu mtoa comment yanga yeye atakua kafungiwa kusajili au?
 
Pale angempa kibu it was an easy option, ila sijui aliwaza ujinga Gani, nashangaa mashabiki wamekaa kimya kuhusu hili
Hivi kwani nyie simba hamuoni kua ile ilikua ni offside,mbona hadi azam walichora mstali kweli simba inabebwa lakini haibebeki.
 
Acha hasira shabiki mandazi wewe, yanga sio level yenu hata kidogo team haina hata medali ya caf mwajiita wakubwa
Labda wakati Simba SC inapata hiyo medali, wewe ulikuwa bado hujaanza kuwa shabiki wa soka, ndiyo maana hujui.

Kwa kuongezea, sio kwa ubaya lakini, ukiwa unaandika jina, anza na herufi kubwa. Sio yanga ni Yanga. Pia, ni CAF sio caf.

Ova
 
Ninasikitishwa na kiongozi wa Simba anayemlalamikia kipa kwa eti kuurudisha mpira uwanjani.
Hizi ni lawama za kipumbavu sana na zinakatisha tamaa.
Hazisaidii kuongeza umakini ila zinaleta kutojamini na hatimae kushuka kwa viwango.

Hivi kwa nini iwe kila mara wachezaji wa Simba tu ndio watuhumiwe kuuza mechi?
Wao hawajitambui?
Kwa nini kipa wa yanga asiuze mechi?
Hamuoni kama kweli ni hivyo ni udhaifu wa uongozi?
Binafsi niliwaonya sana kuruhusu mchezaji akatambe eti kuwafunga yanga!! Hivi hamjifunzi kuwa hiyo husababisha timu pinzani kuhamasika na kuhakikisha wanakudhibiti ili wakufunge mdomo!
Hivi mkinyamaza kwenye derbi huwa mnawashwa nini?

Ujinga utawaumiza mashabiki wenzangu wa Simba maana sijui kwa nini mnadanganyika na kelele za msemaji wakati yule ni mchekeshaji hana jipya

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Atakuwa anatatizo la afya ya akili
 
Back
Top Bottom