kataip
Senior Member
- Aug 21, 2013
- 145
- 80
Habari wapendwa wanavamvi.
Naombwa kujuzwa sababu za mwili kuwa wabaridi kiasi tofauti na miaka 5 na 4 ilopita nilikuwa na joto sana kiasi hata nikimsalimia mtu anauliza km naumwa au lah.
Sasa joto lile halipoumri wangu km 30yrs nimeolewa miaka 6 ilopita nina wana wawili.
Naomba majibu yenu mazuri niweze kurejesha maana ni la muhimu sana.
Naombwa kujuzwa sababu za mwili kuwa wabaridi kiasi tofauti na miaka 5 na 4 ilopita nilikuwa na joto sana kiasi hata nikimsalimia mtu anauliza km naumwa au lah.
Sasa joto lile halipoumri wangu km 30yrs nimeolewa miaka 6 ilopita nina wana wawili.
Naomba majibu yenu mazuri niweze kurejesha maana ni la muhimu sana.