Kwa nini kampuni za Kikenya ni nyingi nchini Tanzania kuzidi kampuni za Kitanzania nchini Kenya.

Kwa nini kampuni za Kikenya ni nyingi nchini Tanzania kuzidi kampuni za Kitanzania nchini Kenya.

1.Serikali ya Kenya inatoa Elimu inayolingana na nahitaji ya wananchi wake 2.Wananchi wenyewe baada ya kupata Elimu then wanatumia vizuri 3.Serikali Yao inawapa support Kwa manufaa ya Taifa mfano Anglia kwenye riadha utagundua Hilo.3 Raia wanaokaa nje ya Kenya wanasaidia Kuwa inua pale wanahitaji Msaada .Tanzania ni kinyume chake Elimu inayotolewa ni ya kusoma gazeti la Uhuru lakini pia hao viongozi wanahakikisha watoto wao hawasomi hizo shule Kwa sababu wanajua Elimu yenyewe ni bomu.
 
Wabongo kuwatoa Nje na Nchi yao eti kwenda kutafuta Fursa Ni kazi ngumu sana hata Ukienda Ulaya au Asia kuna Likely kubwa ya Kuwakuta wakenya sehemu kuliko Watanzania
Yani Yahe mimi unitoe Uluguruni Uko Nachuma Ndizi nje nimefuga Mbuzi kidogo na Nina Mke na watoto niende kuhangaika Kenya kwenye Ukabila?
 
Kampuni nyingi za kenya zilixoko Tanzania ni za wazungu na wahindi wa wakenya waafrika chache sana
Lakini hao nao ni Wakenya mkuu! Na sisi Watanzania wenye asili ya Asia na Ulaya wangewekeza kwa wingi nchini Kenya kungeongeza idadi ya kampuni za Watanzania nchini Kenya. Si unaona Mo alivyotutoa kimasomaso? Anapotajwa kama mmoja wa Watanzania tajiri barani Afrika, hawaelezei rangi yake bali Uraia wake tu, kuwa ni Mtanzania!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
1.Serikali ya Kenya inatoa Elimu inayolingana na nahitaji ya wananchi wake 2.Wananchi wenyewe baada ya kupata Elimu then wanatumia vizuri 3.Serikali Yao inawapa support Kwa manufaa ya Taifa mfano Anglia kwenye riadha utagundua Hilo.3 Raia wanaokaa nje ya Kenya wanasaidia Kuwa inua pale wanahitaji Msaada .Tanzania ni kinyume chake Elimu inayotolewa ni ya kusoma gazeti la Uhuru lakini pia hao viongozi wanahakikisha watoto wao hawasomi hizo shule Kwa sababu wanajua Elimu yenyewe ni bomu.
Na kwa taarifa ni kwamba mwaka huu mwanzoni waatachia mtaala mpya wa shule ya msingi ambao hauluguswa tokea kipindi cha kibaki.
Mitaala yao inaendana na mahitaji, dispite of their short coming ni moja ya productive society, while tz mitaala inasoma mambo yasiyo natija karne hii + kutengeneza tegemezi
 
Lakini hao nao ni Wakenya mkuu! Na sisi Watanzania wenye asili ya Asia na Ulaya wangewekeza kwa wingi nchini Kenya kungeongeza idadi ya kampuni za Watanzania nchini Kenya. Si unaona Mo alivyotutoa kimasomaso? Anapotajwa kama mmoja wa Watanzania tajiri barani Afrika, hawaelezei rangi yake bali Uraia wake tu, kuwa ni Mtanzania!
Ushindani wa huko uta uweza? Lazima mjipange sawa sawa
Kuna watanzania wachache ambao wamewekezq huko
 
Bob Marley - "In the abundance of water, the fool is thirsty." #RatRace.


Nadhani hapa hayati Marley alitujibu vyemaa

Swali lako limejibiwa hapa.
 
Nyingi ni za wa-tanzania wahuni wanazifungulia huko Kenya ili ku-take advantage ya tax incentives na vitu kama hivyo
 
Na kwa taarifa ni kwamba mwaka huu mwanzoni waatachia mtaala mpya wa shule ya msingi ambao hauluguswa tokea kipindi cha kibaki.
Mitaala yao inaendana na mahitaji, dispite of their short coming ni moja ya productive society, while tz mitaala inasoma mambo yasiyo natija karne hii + kutengeneza tegemezi
Elimu ya Kenya ni kuhoji lakini Tanzania utopolo tu
 
Elimu ya kenya inamfanya raia ajitambue, awe productive while ya bongo awe tegemezi
Ujamaa kwa third world country ni mzigo. Kenyans walichagua njia nzuri sana ya kuwa karibu na western countries. Tanzania inataka kuwa wajamaa kama China na Russia ilhali hawana nukes waka kura za veto..
 
Back
Top Bottom