Kwa nini Kampuni za Ukaguzi wa mahesabu (Accounting Auditing) hazirushuwi kujitangaza?

Kwa nini Kampuni za Ukaguzi wa mahesabu (Accounting Auditing) hazirushuwi kujitangaza?

Sa 7 mchana

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
5,214
Reaction score
10,276
Wakuu habari.

Naomba niende straight kwenye mada. Nakumbuka miaka imepita kidogo, niliwahi kusoma mahala pameandikwa kuwa Auditing Firms azitakiwi kujitangaza kama aina nyengine za biashara. Siku ya leo nimetaka kuujua undani wa jambo hilo, naona kama nimekwama.

Nimepekua huku na kule patupu, yani sijapata kitu. Nimeona jambo hili nililete kwenu JF maana historia inaoneshe kuwa toka kuumbwa kwa ulimwengu kuwa JF haijawahi kushindwa kitu.

Nawasilisha.
 
Siku hizi wanaruhusiwa ili mradi tu wafate "code of ethics"
 
Wapo kwa ajili ya kuangalia 'standards/ compliance' kwa kile kilichokubalika kiutendaji; inawezekana wanahofia, kujitangaza kwao kunaweza kusababisha wao na baadhi ya taasisi kufoji nyaraka na kubeba fedha.
 
Sababu n kwamba wakaguzi na Wahasibu wa maswala ya pesa wote wanathibitishwa na Board (NBAA). Kwahio kwa mujibu wa hao watu wa Board, watu wao wote waliowathibitisha wana uwezo wa kufanya ktk kiwango na ubora uliokusudiwa. Kwahiyo ni ruhusu kufanya Tangazo lenye dhumuni la kujitambulisha kwamba unafanya huduma izo na unapatikana vipi. Lakini si ruhusu kufanya tangazo lolote lenye kunasibu ubora wako dhidi ya yeyote maana Board inaamini kwamba wote mnavigezo stahiki ndio maana ikawathibitisha.

Kumbuka hawa wote wanafanya kazi zao kwa mujibu wa Standard zilizowekwa kwaio hakuna aliye bora zaidi. kwaio unaruhusiwa kutoa tangazo lenye kukutambulisha wewe pamoja na huduma unazotoa.
 
Sababu n kwamba wakaguzi na Wahasibu wa maswala ya pesa wote wanathibitishwa na Board (NBAA). Kwahio kwa mujibu wa hao watu wa Board, watu wao wote waliowathibitisha wana uwezo wa kufanya ktk kiwango na ubora uliokusudiwa. Kwahiyo ni ruhusu kufanya Tangazo lenye dhumuni la kujitambulisha kwamba unafanya huduma izo na unapatikana vipi. Lakini si ruhusu kufanya tangazo lolote lenye kunasibu ubora wako dhidi ya yeyote maana Board inaamini kwamba wote mnavigezo stahiki ndio maana ikawathibitisha.

Kumbuka hawa wote wanafanya kazi zao kwa mujibu wa Standard zilizowekwa kwaio hakuna aliye bora zaidi. kwaio unaruhusiwa kutoa tangazo lenye kukutambulisha wewe pamoja na huduma unazotoa.
Nice
 
Sababu n kwamba wakaguzi na Wahasibu wa maswala ya pesa wote wanathibitishwa na Board (NBAA). Kwahio kwa mujibu wa hao watu wa Board, watu wao wote waliowathibitisha wana uwezo wa kufanya ktk kiwango na ubora uliokusudiwa. Kwahiyo ni ruhusu kufanya Tangazo lenye dhumuni la kujitambulisha kwamba unafanya huduma izo na unapatikana vipi. Lakini si ruhusu kufanya tangazo lolote lenye kunasibu ubora wako dhidi ya yeyote maana Board inaamini kwamba wote mnavigezo stahiki ndio maana ikawathibitisha.

Kumbuka hawa wote wanafanya kazi zao kwa mujibu wa Standard zilizowekwa kwaio hakuna aliye bora zaidi. kwaio unaruhusiwa kutoa tangazo lenye kukutambulisha wewe pamoja na huduma unazotoa.
Jibu linajitosheleza.
 
Back
Top Bottom