Kwa nini karatasi zenye taarifa za Onyo kwenye Bidhaa hasa za Madawa huwa na Maandishi madogo sana?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello hello,

Tusaidiane kujibu hilo swali tafadhari nimewiwa kujua sababu au umakusudi nyuma ya pazia na. Je, hayo maneno ya onyo hujumuishwa kwenye matangazo ya hizo bidhaa kabla ya kumfikia mteja?

Nawasilisha.
Shukrani kwa mwitikio wako.

Wadiz.
 
Lengo kuu ni wewe mtumiaji wa hizo dawa usiweze kuona hiyo taarifa ya onyo ili ikitokea kesi au madhara waseme mbona tulikupa onyo
 
ili ufe sababu taifa linahitaji watu wa kusomasoma na sio kukurupuka tu
 
jibu mujarabu uzi ufungwe. yaani ni sawa na mtu anakuita huku anaomba usisikie kwahiyo anatumia sauti ya chini
Au anakupigia simu anaombea usiipokee ili abaki na reference kuwa alikupigia na wewe ukute missed call ili ushindwe kumlaumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…