Kwa nini kauli za kawaida za matajiri bongo huwa zina uzito mkubwa sana?

Kwa nini kauli za kawaida za matajiri bongo huwa zina uzito mkubwa sana?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Yani bongo Tajiri akiongea mahali au akitoa ushauri wake hata kama maneno yake ni ya kawaida sana tu anaonekana kama mwanafilosofia au mwanauzoni hivi,

Screenshot_20241102-160457_X.jpg


Mfano mwingine tangu yule tajiri wa timu fulani anayesemekana hajui kuzungumza aje na msemo wa "Yanga bingwa" sasa kila mtu mjini ni Yanga bingwa!
 
Back
Top Bottom