Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Nchi ya Kenya kwangu mimi inanishangaza kwani nashindwa kuelewa ni kwa nini imeshindwa kuwa developed country kama vile Singapore, Korea au hata Malaysia wakati imekuwa ikufuata capitalistic economic system tangu kuanzishwa kwake?
I mean, Kenya haijawahi kuwa na maadui hata tu self imposed sanctions kama vile TZ yetu haijawahi kuwa nazo, Kenya imekuwa ikifanya Biashara hata na AK wakati wa apartheid, SAA ilikuwa inatua Nairobi wkt wa apartheid na kuleta Watalii wa Kikaburu, Kenya ilikuwa upande wa USA na siyo communism kama sisi, sasa ni kwa nini mpaka leo hii bado wana struggle na matatizo yale yale yanayoisumbua TZ, Uganda au Rwanda, Burundi au hata Ethiopia?
Nilishangaa kusoma kwenye Gazeti Raisi wa Kenya amekwenda Cuba kuomba Madaktari kuja kufundisha Wakenya, I mean really, Cuba ni communist country, na imewekewa sanctions na Dunia nzima hata Watalii wengine walikuwa hawaruhusiwi kwenda Cuba na wanategemea cigar tu lkn Kenya nchi yenye capitalism wanakwenda kuomba msaada Cuba, hii imekaaje? Nilitegemea Cuba waje kuomba msaada Kenya na siyo kinyume chake.
Sasa swali langu ni hilo, ni kwa nini nchi ya Kenya imeshindwa kutake off hata baada ya miaka zaidi ya 50 ya capitalism?
Ikumbukwe moja kati ya visingizio/sababu ya tunazotoa ya TZ yetu kushindwa kutake-off kwa miaka mingi ni Ujamaa, Ujamaa haukuruhusu accumulation of capital and wealth, lkn Kenya siyo hivyo, ...
I mean, Kenya haijawahi kuwa na maadui hata tu self imposed sanctions kama vile TZ yetu haijawahi kuwa nazo, Kenya imekuwa ikifanya Biashara hata na AK wakati wa apartheid, SAA ilikuwa inatua Nairobi wkt wa apartheid na kuleta Watalii wa Kikaburu, Kenya ilikuwa upande wa USA na siyo communism kama sisi, sasa ni kwa nini mpaka leo hii bado wana struggle na matatizo yale yale yanayoisumbua TZ, Uganda au Rwanda, Burundi au hata Ethiopia?
Nilishangaa kusoma kwenye Gazeti Raisi wa Kenya amekwenda Cuba kuomba Madaktari kuja kufundisha Wakenya, I mean really, Cuba ni communist country, na imewekewa sanctions na Dunia nzima hata Watalii wengine walikuwa hawaruhusiwi kwenda Cuba na wanategemea cigar tu lkn Kenya nchi yenye capitalism wanakwenda kuomba msaada Cuba, hii imekaaje? Nilitegemea Cuba waje kuomba msaada Kenya na siyo kinyume chake.
Sasa swali langu ni hilo, ni kwa nini nchi ya Kenya imeshindwa kutake off hata baada ya miaka zaidi ya 50 ya capitalism?
Ikumbukwe moja kati ya visingizio/sababu ya tunazotoa ya TZ yetu kushindwa kutake-off kwa miaka mingi ni Ujamaa, Ujamaa haukuruhusu accumulation of capital and wealth, lkn Kenya siyo hivyo, ...