Utakua bado una kamba mguuni humu ndio uelewi mwandiko wa p diddyKaka tulia alafu uandike vizuri ueleweke unakimbizwa na nani?
Kachafua sana majina yetu siju tunajisagishaje dah zile mafuta nilizozionaaa atakuwa ana dhambi nyingi sana mola kase.ma imetoshaP. Diddy ni gwiji, na mfalme wa kupindua Kobe, yeyote aliyemtembelea huyu kungwi bin mkunga lazima alipewa huduma....mondiii
Kwamba Wanaogopa kufanyiwa yakufanyiwa haha!
Ila Mahondaw una nyash flani hivi amazingKwamba Wanaogopa kufanyiwa yakufanyiwa haha!
Ukicheza na timu kubwa lazima ujipange nje na ndani ya uwanja. Ndio soka la afrika. Ukiona watu wanakuja wamerelax ujue wanacheza na biashara, azam, Yanga na timu nyingine ndogondogo
Mmmh.....ni aina ya nyash nayopenda, si mzigo mkubwa sana si mbao, yaani unacheza katikati. Umebarikiwa sana
Hujui footbol kaa kimya. Aliondoka mesi Barcelona sembuse mayele Yanga?Timu kubwa inacheza shirikisho. Na kutolewa jasho round ya kwanza tu ya shirikisho.
Timu kubwa inakimbiwa na best players wake kina inonga na chama na wengineo
Hujui footbol kaa kimya. Aliondoka mesi Barcelona sembuse mayele Yanga?
Kumbe hata Yanga yenyewe huijui. Mayele wakati anacheza nani alikuwa top player pale zaidi yske? Kwani kuuzwa kwa shinikizo la mchezaji ni nini kama sio kukimbiwa? Feisal alifanyaje pale utopoloni kwenda azam? Wewe bana baki na ushabiki wako masndazi.Mayele yanga hakukimbia bali aliuzwa. Pia mayele hakuwa ndie top player wa yanga. Walikuwepo wengine.
Na ndio maana yanga bila mayele imefika mbali champions league kuliko yanga ya mayele
Uliona alichoandika mara ya kwanza kabla hajaedit au nawew umekurupuka kunijibu? Bahati mbaya sikumquoteUtakua bado una kamba mguuni humu ndio uelewi mwandiko wa p diddy