kwa nini kila timu ikija kucheza na Simba wanakuja na vyakula vyao na wanapikia ubalozini?

kwa nini kila timu ikija kucheza na Simba wanakuja na vyakula vyao na wanapikia ubalozini?

Kumbe hata Yanga yenyewe huijui. Mayele wakati anacheza nani alikuwa top player pale zaidi yske? Kwani kuuzwa kwa shinikizo la mchezaji ni nini kama sio kukimbiwa? Feisal alifanyaje pale utopoloni kwenda azam? Wewe bana baki na ushabiki wako masndazi.

Aziz kii ndie top player. Na ushahidi ni kwamba top player huwa analipwa hela nyingi kuliko wengine. Mayele hakuwai mzidi aziz malipo
 
Nimejiuliza sanasanaa
Kwanini kwa Simba. Kila timuzanje zikija zinakuja na vyakula vyao Na vyakula wanapikia ubalozin mwa nchi husika.

Nawaza wanaogopa Uchawi, Kulogwa, ama wana taarifa zaidi zinazohusu Simba? kwa nini wakija kucheza na Yanga hakuna mambo kama haya.

Cc
Okwi b mpwaaaa.

Soma Pia: Al-Ahli Tripoli wagomea Gari kubwa, mizigo yote wamepakia kwenye Kenta
Wamezoea tabia za ajabu, ndiomana hawaoni haibu kufanya mambo yanayoatarisha usalama wa wapizani wao.
 
Aziz kii ndie top player. Na ushahidi ni kwamba top player huwa analipwa hela nyingi kuliko wengine. Mayele hakuwai mzidi aziz malipo
Top player is not only about top salary earned bro. Utafeli. Top player means top contribution and importance of a player to the club. Mishahara ni ujanja tu wa mtu katika kunegotiate.

Feisal alikuwa top player kwa Yanga ukifananisha na Aziz na ndio mana akataka alipwe zaidi.

Kuna wachezaji wanasajiriwa kwa fedha nyingi na mishahara mikubwa kwenye vilabu lkn contribution yao ni poor, huwezi waita top players. Huko utopolo bigilimana mliyemnadi ametoka Newcastle alikuwa na mshahara mkubwa lkn hakuwa top player na akavunjiwa mkataba ambapo hamkuweza kumlipa mpk alipowashtaki caf
 
Ukicheza na timu kubwa lazima ujipange nje na ndani ya uwanja. Ndio soka la afrika. Ukiona watu wanakuja wamerelax ujue wanacheza na biashara, azam, Yanga na timu nyingine ndogondogo
Hii akili ya kimbumbumbu ni mtaji wetu mkubwa uto.
Yaani misimu mitatu simba kombe wanaliona kwa jirani , derby zote ni kukandwa tu na msimu huu simba itashika nafasi ya nne maana kila mwaka inashuka nafasi moja , timu inacheza kombe la ndondo bin loosers, kombe la kina mama ila bado mnajiona wakubwa, kweli Rage anastahili kujengewa sanamu haraka sana!!
 
Kwa sababu hii
1726778982166.png
 
Hii akili ya kimbumbumbu ni mtaji wetu mkubwa uto.
Yaani misimu mitatu simba kombe wanaliona kwa jirani , derby zote ni kukandwa tu na msimu huu simba itashika nafasi ya nne maana kila mwaka inashuka nafasi moja , timu inacheza kombe la ndondo bin loosers, kombe la kina mama ila bado mnajiona wakubwa, kweli Rage anastahili kujengewa sanamu haraka sana!!
Huijui mpira shut up. Liverpool ilisota misimu zaidi ya 30 bila ubingwa wa ligi na bado ni club kubwa sio england tuu Bali duniani. Wewe ulikaa misimu minne mtawalia bila kushinda ligi unachoshangaa nini? Au umeanza kuangalia mpira azam tv?
 
Huijui mpira shut up. Liverpool ilisota misimu zaidi ya 30 bila ubingwa wa ligi na bado ni club kubwa sio england tuu Bali duniani. Wewe ulikaa misimu minne mtawalia bila kushinda ligi unachoshangaa nini? Au umeanza kuangalia mpira azam tv?
Simba mdebwedo inatia aibu sana timu kubwa ina kiwango cha championship!! na bado!!

Wa kunyamaza ni nyie mnaocheza kombe la rede, kombe la wamama , kombe la looser ndondo cup shirikisho au na sisi uto pia tulio kombe la wanaume? !!

Kwa hiyo simba ni timu kubwa sawa sawa kabisa na Liverpool ambayo mshahara wa wiki wa Salah ni budget yenu makolo ya miaka 6? You cannot be serious mtani!! Hizi akili zinapatikana msimbazi tu!! Kweli we mbumbumbu og!!

Kwa akili hizi za kimbumbumbu uto tutawakandeni makolo kwa miaka yote 30 uliyosema mwenyewe kuwa tuwapigeni kama ngoma !!
 
Thimba wanga wana history SA ile aibu plus wanamuogopa kwa shirkii
 
Hata hizo huwa ni miongoni mwa mbinu za mind games tu hamna kingine.
 
Back
Top Bottom