Eumed15
Senior Member
- Nov 17, 2016
- 188
- 289
Umeanza lini kufatilia mpira wa kiafrica.Nimejiuliza sanasanaa
Kwanini kwa Simba. Kila timuzanje zikija zinakuja na vyakula vyao Na vyakula wanapikia ubalozin mwa nchi husika.
Nawaza wanaogopa Uchawi, Kulogwa, ama wana taarifa zaidi zinazohusu Simba? kwa nini wakija kucheza na Yanga hakuna mambo kama haya.
Cc
Okwi b mpwaaaa.
Soma Pia: Al-Ahli Tripoli wagomea Gari kubwa, mizigo yote wamepakia kwenye Kenta