Murano
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,056
- 1,102
Habari zenu wanajamvi wa jukwaa hili la lugha, husika na kichwa cha habari hapo juu, why waungwana waliamua kukiita kibao cha mbuzi na si cha nazi? mbuzi katumikaje hapo?
Nitashukuru kwa majibu/maoni yenu.
TAFADHALI: usijibu kwa kejeli au matusi,kama hujaelewea ipite post kama ilivyo
nawasilisha
Nitashukuru kwa majibu/maoni yenu.
TAFADHALI: usijibu kwa kejeli au matusi,kama hujaelewea ipite post kama ilivyo
nawasilisha