Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
So you are marrying because of sex??Don't entertain sex it is better to get married
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So you are marrying because of sex??Don't entertain sex it is better to get married
Hii style ndio ya wadada wengi wa mjini halafu wanakwambia hawajiuzi. Wanawake wachache mno, ambao hawaombi hata sent baada ya show. Wengine wakija ghetto anajua hakosi hela ya vikoba, mchezo wake wa kulipia majina matatu nk.Hapo kuna hesabu inapigwa, ile 20,000 au 30,000 au 40,000 ya kulipia gesti anaitaka aichukue yeye
Ndio mlivyodanganywa,endelea na mtazamo huo wa kuwekewa hofu kupitia dini za washenzi wazungu na waarabu,sex ni sacredMkuu, nuksi is real! Sex haifanyiki kimwili tu inahusisha mambo ya roho pia.
You could 've ignored my reply, usije kwa haraka! 🤣🤣🤣Ndio mlivyodanganywa,endelea na mtazamo huo wa kuwekewa hofu kupitia dini za washenzi wazungu na waarabu,sex ni sacred
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akiingia gheto hatoki ilhali mkienda guest lazima aondoke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inategemea, wengine watakufosi uende naye gesti haswa anayojulikana ili akuibie , ukimpeleka kwako kukuibia inakuwa ngumu.
Wee ndo una njaa, helaa huna, mxxxxiiiiiieeeew.Afu hao ni wale mademu njaa, kiukweli siwapendi hata kuwaona.
Huyo mwnaune mwenzakeKwema wakuu
Siku hizi hawa dada zetu kumpeleka gest ni ngumu wao wanapenda magetoni
Mtumwa mwingine hapaMkuu, nuksi is real! Sex haifanyiki kimwili tu inahusisha mambo ya roho pia.
Acha kunikandia afu wewe 😅😅😅😅😅Wee ndo una njaa, helaa huna, mxxxxiiiiiieeeew.
Mzinifu nae huwa anajitambua?Labda kina Mwajuma nchokonoe ndiyo utawapeleka guest, mwanamke anayejitambua labda mwende classic hotel
Mtumwa kivipi hata ukienda kwa mganga wa kienyeji nae anakuambia unapoenda kilingeni usiwe mchafu yaani umetoka kuziniMtumwa mwingine hapa
Na waganga wa kienyeji nao wanaokutaka usifike kilingeni kwake ikiwa umetoka kuzini bila kuoga au usizini mpaka umalize kutumia dawa zake nao ni dini ganiNdio mlivyodanganywa,endelea na mtazamo huo wa kuwekewa hofu kupitia dini za washenzi wazungu na waarabu,sex ni sacred
Wengine hawaombi hapohapo ila anavuta kama siku tatu mpaka 7 baada ya hapo mizinga inaanza. Ni mbinu ya indirect ya kudanga kimya kimyaHii style ndio ya wadada wengi wa mjini halafu wanakwambia hawajiuzi. Wanawake wachache mno, ambao hawaombi hata sent baada ya show. Wengine wakija ghetto anajua hakosi hela ya vikoba, mchezo wake wa kulipia majina matatu nk.
Sijaelewa reply yako ina maana gani!Mtumwa mwingine hapa