Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa Savanna

Mume nimekukamataaa! Haya na mie nitoe out nakuja na mashosti wawili tunakunywa soda
Muke kwanini unanitelekeza kiasi kile yaani hadi nikadondokea kwa maninja wale [emoji27] [emoji27] [emoji27] sina hamu yaani waliamua kabisa kutoboa mifuko [emoji119]


We ukuje tu najua ugonjwa wako ni balimi zile zina hati punguzo sh 15 humalizi kwa kinywaji chako. [emoji23]
 
Bado ujamalizia bhana[emoji23][emoji23].mbona mengineyo uyasemi
 
Tatizo lako hutulii macho juu juu. Hiyo pesa uliyochunwa kiboyaboya bora ungenikabidhi mie, balimi zangu 3 tu naridhika, na ile service ningekupa ya kiwango cha lami. Tulia mume tulia
 
Tatizo lako hutulii macho juu juu. Hiyo pesa uliyochunwa kiboyaboya bora ungenikabidhi mie, balimi zangu 3 tu naridhika, na ile service ningekupa ya kiwango cha lami. Tulia mume tulia
Nishatulia muke umefanikiwa kunituliza.

Tulishakubaliana michepuko sio dili [emoji28] wale wahuni hawanipati tena.
 
mkuu kazi in adiimu awamu hii hongera
 
Tatizo lako hutulii macho juu juu. Hiyo pesa uliyochunwa kiboyaboya bora ungenikabidhi mie, balimi zangu 3 tu naridhika, na ile service ningekupa ya kiwango cha lami. Tulia mume tulia
Haka kajamaa ngoda kanatuuzi sana sisi wenye chuki binafsi shubamit zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…