Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa Savanna

Nikiingia sehemu ya starehe kama club afu nimuone mrembo mzuri anakunywa savannah huwa siwez kumfata..naogopa atanifilisi...me napenda wale wa castle lite 2500 tu
Mkuu huwezi kufahamu kwa sababu wengine utakuta anakunywa maji,sasa ukitoa ofa ndio anabadili gia angani.
 
Mamaenu mdogo anapendaga K vant tena ile kubwa, basi tukinywa inafuata mechi kinapigwa na vile amna mashabiki mechi inaisha hamna anaejua ngapi ngapi?
 
Vipi katika misaada haukukàmilisha zoezi?
 
Kwenye maandishi yako kuna kitu kinakosekana mkuu
 
Ndiooo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nitasubiri kitaa kile
Nafurahi ulivomuelewa !! ila leo iwe kwa ndani sasa...
Maana si kwa macho yale, mtu unaweza hisi ukitoka kidogo unaibiwa.

Ila nawee punguza kupendeza daahh, uzuri wewe..kupendeza wewe .....

Unaumiza watu akii[emoji4][emoji16][emoji23]
 
Nafurahi ulivomuelewa !! ila leo iwe kwa ndani sasa...
Maana si kwa macho yale, mtu unaweza hisi ukitoka kidogo unaibiwa.

Ila nawee punguza kupendeza daahh, uzuri wewe..kupendeza wewe .....

Unaumiza watu akii[emoji4][emoji16][emoji23]
😜😜😜

Naacha Mara moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…