kwa nini magari zenji ni bei rahisi kulinganisha na tz bara

kwa nini magari zenji ni bei rahisi kulinganisha na tz bara

Msarendo

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2011
Posts
10,533
Reaction score
6,562
katika uchunguzi niliofanya nimeona magari kwenye yard za zanzibar yanauzwa bei ndogo uki compare na yard za tanzania bara. Sababu haswa ni ipi?
 
kodi ya Zanzibar ipo Chini.kuliko ya Tanzania Bara
 
Wale hata gari wanaweza kukupa bure cha msingi utembelee.pale malindi tu jioni kunywa gahwa
 
Zanzibar kuna serikali yenye upendo kwa watu wake.
 
Zanzibar kuna serikali yenye upendo kwa watu wake.
Hili neno.
Huku gari ni bei rahisi sana,maana mfano suzuki Carry huko kwenu hani 9m show room.Huku ukiwa mjanja hadi 4.5m unapata na unakula raha duniani.

Ushuru wa huku mdogo kwa Magari.Na ni kulingana na hali halisi ya uchumi wa Zanzibar.

Hata hivyo watu bado wanakomaa ushuru kwa bidhaa nyingine ushushwe ili iwe ile Zanzibar ya Zamani.
Maana leo hii Nguzo na viatu watu wanatoka Zanzibar wanakuja kununua Dar na kuleta huku.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hili neno.
Huku gari ni bei rahisi sana,maana mfano suzuki Carry huko kwenu hani 9m show room.Huku ukiwa mjanja hadi 4.5m unapata na unakula raha duniani.

Ushuru wa huku mdogo kwa Magari.Na ni kulingana na hali halisi ya uchumi wa Zanzibar.

Hata hivyo watu bado wanakomaa ushuru kwa bidhaa nyingine ushushwe ili iwe ile Zanzibar ya Zamani.
Maana leo hii Nguzo na viatu watu wanatoka Zanzibar wanakuja kununua Dar na kuleta huku.

ebana mna raha sana. Nimeona toyota ist kwenye yard hadi m 7 unapata huko
 
Tatizo huku ni tamaa ya watumishi wa TRA,bandari na hazina kujitangazia marupurupu makubwa . Uzalendo hakuna kabisa huku bara.
Nadari inawakamua wafanya biashara lakini pato kubwa linaishia mifukoni mwa watu wachache huku bidhaa sikiwa bei juu kwa wananchi.
Tunapandisha kodi kubwa kwa bidhaa ambazo hatuzizalishi humu nchini kama magari lakini wanashusha kodi kwenye sukari,sementi,mabati,nguo,na vitu kama viberiti na bidhaa nyingi za kwenye masupa market.
Viongozi sio wabunifu wa kupanua wigo wa kodi.
 
Kodi huwa wanalipa kwa installment kama huna cash sasa ukute mtu anadaiwa kodi ya 5m na kalipa 1m iliyobaki yote ukivusha gari unakuja kuimalizia huku
 
Tatizo huku ni tamaa ya watumishi wa TRA,bandari na hazina kujitangazia marupurupu makubwa . Uzalendo hakuna kabisa huku bara.
Nadari inawakamua wafanya biashara lakini pato kubwa linaishia mifukoni mwa watu wachache huku bidhaa sikiwa bei juu kwa wananchi.
Tunapandisha kodi kubwa kwa bidhaa ambazo hatuzizalishi humu nchini kama magari lakini wanashusha kodi kwenye sukari,sementi,mabati,nguo,na vitu kama viberiti na bidhaa nyingi za kwenye masupa market.
Viongozi sio wabunifu wa kupanua wigo wa kodi.
Umesahau kuwa matumizi ya serikali ni makubwa sana, Serikali ipunguze gharama zisizo za lazima, ule ujanja ujanja wa safari za uongo, na za kupeana uachwe sasa. Posho za vikao,semina na misululu ya magari ya kifahari ipungue.
 
Kwani Zanzibar c mkoa wa Tanzania? Kuleta gar bara iliyosajiliwa kwa namba za Zanzar inahitaji kodi tena? Kwani nimeingiza kutoka nchi za nje? C humu humu tz jmn?
 
Kwani Zanzibar c mkoa wa Tanzania? Kuleta gar bara iliyosajiliwa kwa namba za Zanzar inahitaji kodi tena? Kwani nimeingiza kutoka nchi za nje? C humu humu tz jmn?

Cha ajabu ukitembelea gari yenye namba za Zanzibar utasumbuliwa na traffic pamoja na TRA balaa lakini ukiwa Zanzibar na namba za bara hakuna atakaekusumbua kabisa
 
Hivi kwa mfano nikinunua gari zanzibar na ku import hapa bara ghrama zinakuaje
 
Usiogope bei inashuka unaweza kusave hata milion nzima try it njoo pm ntakufahamisha
Mkuu, kuna gari nafikiria kulinunua, nilipo pitia calculator ya TRA jumla ya ushuru ni 3466409tsh. Naomba unipe utofauti wa ushuru kama ntalipitisha Zanzibar kisha nililete Tanganyika. Gari ni Toyota ISIS, la 2005,cc 1900,lipo Japan, na cif ya 2300$.
 
Back
Top Bottom