charleslee
JF-Expert Member
- Aug 4, 2016
- 408
- 200
Tumeshuhudia juzi kat nchini kenya mirungi ikihalalishwa kama zao la biashara, vp kwa Tanzania na sisi tukihalalisha? ukizingatia tena zao hili ni la thamani sana na litachangia mapato vizuri..
Niambie inapatikana wap kwa wingi
Asante
Niambie inapatikana wap kwa wingi
Asante