Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,190
- 1,774
Ukiangalia takwimu Morinho amebena ubingwa wa epl zikiwa zimesalia mechi tatu, pili ametoa mchezaji bora wa mwaka kwa mujibu wa PFA, na pia timu yake Imetoa wachezaji sita wa msimu. Inakuaje kwa jamaa kutopata tuzo ya kocha bora wa mwezi hata mara moja? Au ndio anasubiri kocha wa mwaka? Hii imekaaje au Morinho ni bora kocha na si kocha bora?