Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kutokana na uasi uliochanganyikana na ugaidi kushamiri katika jimbo la Cabo Delgado mwaka 2021 serikali ya Msumbiji baada ya kuzidiwa sana waliingia makubaliano na nchi Rwanda kupeleka majeshi yake katika jimbo hilo kurudisha hali ya utusalama na utulivu.
Baada ya kuona ufanisi mkubwa wa kikosi cha wanajeshi 1,000 waliopelekwa awamu ya kwanza Msumbiji iliendelea kutoa idhini ya wanajeshi wengine kuongezwa zaidi ambapo sasa inakadiriwa wamefika zaidi ya 3000.
Kwa nini Msumbiji haikuomba msaada au kuingia makubaliano kama hayo na majirani zake wa karibu kwenda kusaidia kuweka amani nchini humo?
Baada ya kuona ufanisi mkubwa wa kikosi cha wanajeshi 1,000 waliopelekwa awamu ya kwanza Msumbiji iliendelea kutoa idhini ya wanajeshi wengine kuongezwa zaidi ambapo sasa inakadiriwa wamefika zaidi ya 3000.
Kwa nini Msumbiji haikuomba msaada au kuingia makubaliano kama hayo na majirani zake wa karibu kwenda kusaidia kuweka amani nchini humo?