Kukodi/kununua shamba na kuanza kulima ni jambo rahisi kuliko kufungua kiwanda maana hapo utafatwa na halmashauri,tra mara Brela mara osha..na wastaafu wengi wanapenda kupumzika hawataki hekaheka.
Kukodi/kununua shamba na kuanza kulima ni jambo rahisi kuliko kufungua kiwanda maana hapo utafatwa na halmashauri,tra mara Brela mara osha..na wastaafu wengi wanapenda kupumzika hawataki hekaheka.
Ukishastaafu nikula pension tu na kutubia maovu yako,..kwanza kilimo na ufugaji stress hamna..viwanda na biashara mwisho wakafa mapema tu na shinikizo la damu