Kwa nini muziki wa Congo unapendwa na umejipatia umaarufu sana Tanzania?

Kwa nini muziki wa Congo unapendwa na umejipatia umaarufu sana Tanzania?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Umaarufu na kupendwa sana kwa muziki wa Congo(DRC) imetokana na nini wakati hata raia wa nchi hii hasa wapenzi wa huo muziki hata hawajui lugha za Kifaransa, Kikongo au Kilingala?

Amapiano japo huwa hakijulikani nini huwa kinaimbwa ila naweza kuelewa unapendwa labda kwa sababu ya makelele yake na jinsi vijana wanavyocheza kwa kukata mauno sana na kurukaruka kwa hiyo labda unaweza kusema una vibe kubwa, ila upenzi wa muziki wa Congo kwa wabongo sijawahi kuelewa umetokana na nini hasa.
 
Hata Caneroon, Niger, muziki a Congo unaoendwa sana.

Kumekuwa na nuingiliano wa wa Congo na watanzania kwa muda mrefu,kuna wacongo na wananyema wengi sana nchini,wanamuziki wacongo wake wa average kyke jwao hawana soko ila wakikuja nchini na kuanziaha bendi na kuyeka akili zetu tukaamini muziki wao ndio bora,nguza viking, shem kalenga,king kiki,remmy ongala,kabeya badu,ilunga banza mchafu,Asosa,Makassy nk
 
Hakika, mimi mara kadhaa nimeenda Lusaka na Nairobi kusakata Rhumba la Koffie na Ferre golla.

Baada ya Tanzania kufirisika hakuna promoter anaweza kuleta Mwanamuziki mkubwa wa Congo
 
Umaarufu na kupendwa sana kwa muziki wa Congo(DRC) imetokana na nini wakati hata raia wa nchi hii hasa wapenzi wa huo muziki hata hawajui lugha za Kifaransa, Kikongo au Kilingala?

Amapiano japo huwa hakijulikani nini huwa kinaimbwa ila naweza kuelewa unapendwa labda kwa sababu ya makelele yake na jinsi vijana wanavyocheza kwa kukata mauno sana na kurukaruka kwa hiyo labda unaweza kusema una vibe kubwa, ila upenzi wa muziki wa Congo kwa wabongo sijawahi kuelewa umetokana na nini hasa.
Sio kuucheza tu hata kuusikiliza. Na sio mziki wa Congo tu. Kuna miziki ya Benin, Cote d'Ivoire, Cuba, Nigeria n.k. inatuvutia sana wapenzi wa miziki. Mimi binafsi nasikiliza sana instrumental music hasa contemporary jazz za kina Santana, n.k. Hakuna maneno bali ni beats, rythm, na melodies zinazokufanya ujisikie unaelea mawinguni.

Usichanganye muziki na mashairi. Muziki una lugha yake ambayo ni universal. Wasikilize Beethoveny na Mozart halafu jiulize ukuu wa miziki yao ulipimwaje bila maneno.

Sir, you need to have an ear for music to understand the musical phenomenon. Mere words are nothing here.
 
Umaarufu na kupendwa sana kwa muziki wa Congo(DRC) imetokana na nini wakati hata raia wa nchi hii hasa wapenzi wa huo muziki hata hawajui lugha za Kifaransa, Kikongo au Kilingala?

Amapiano japo huwa hakijulikani nini huwa kinaimbwa ila naweza kuelewa unapendwa labda kwa sababu ya makelele yake na jinsi vijana wanavyocheza kwa kukata mauno sana na kurukaruka kwa hiyo labda unaweza kusema una vibe kubwa, ila upenzi wa muziki wa Congo kwa wabongo sijawahi kuelewa umetokana na nini hasa.
Sikiliza antente, une minute, a flye, sikiliza asocie, sikiliza mayday, sikiliza, Fatimata, sikiliza rail on, wewe ngoma Zina melody kali sana rhumba za kwenda
 
Hata Caneroon, Niger, muziki a Congo unaoendwa sana.

Kumekuwa na nuingiliano wa wa Congo na watanzania kwa muda mrefu,kuna wacongo na wananyema wengi sana nchini,wanamuziki wacongo wake wa average kyke jwao hawana soko ila wakikuja nchini na kuanziaha bendi na kuyeka akili zetu tukaamini muziki wao ndio bora,nguza viking, shem kalenga,king kiki,remmy ongala,kabeya badu,ilunga banza mchafu,Asosa,Makassy nk
Naona unaandika huku una-drive, angalia usisababishe ajali.
 
Huyu
Sio kuucheza tu hata kuusikiliza. Na sio mziki wa Congo tu. Kuna miziki ya Benin, Cote d'Ivoire, Cuba, Nigeria n.k. inatuvutia sana wapenzi wa miziki. Mimi binafsi nasikiliza sana instrumental music hasa contemporary jazz za kina Santana, n.k. Hakuna maneno bali ni beats, rythm, na melodies zinazokufanya ujisikie unaelea mawinguni.

Usichanganye muziki na mashairi. Muziki una lugha yake ambayo ni universal. Wasikilize Beethoveny na Mozart halafu jiulize ukuu wa miziki yao ulipimwaje bila maneno.

Sir, you need to have an ear for music to understand the musical phenomenon. Words are nothing here.
Abdala makassy
 
Binafsi nimezaliwa nilikuta Mzee Ana kanda nyingi Sana za wazaire anapiga kwenye kaseti yake sebuleni ,sikukuu ndo Kabisa
Yaani Hadi leo nasikilizia Sana muziki wa Kongo na umeniingia damuni imefikia hatua maneno mengi ya lingala nayajua
 
Umaarufu na kupendwa sana kwa muziki wa Congo(DRC) imetokana na nini wakati hata raia wa nchi hii hasa wapenzi wa huo muziki hata hawajui lugha za Kifaransa, Kikongo au Kilingala?

Amapiano japo huwa hakijulikani nini huwa kinaimbwa ila naweza kuelewa unapendwa labda kwa sababu ya makelele yake na jinsi vijana wanavyocheza kwa kukata mauno sana na kurukaruka kwa hiyo labda unaweza kusema una vibe kubwa, ila upenzi wa muziki wa Congo kwa wabongo sijawahi kuelewa umetokana na nini hasa.
Kwa sababu hauna MASHARTI kupiga ni rahisi....wewe piga kilichopo kichwani ilimradi KINOGE.
 
Unapendwa sababu ya mpangiluo mzuri wa sauti za vinanda,Gita na ngoma.miaka ya sabini Hadi mwishoni mwa tisini karibu afrika nzima na nje ya afrika ulipendwa sababu ya hiyo.lakini Kwa Sasa naona kama imepungua tofauti na hapo zamani
 
Katika nyimbo zina mashairi mazuri ya mapenzi ni nyimbo za kihindi na hizo rhumba!
 
Umaarufu na kupendwa sana kwa muziki wa Congo(DRC) imetokana na nini wakati hata raia wa nchi hii hasa wapenzi wa huo muziki hata hawajui lugha za Kifaransa, Kikongo au Kilingala?

Amapiano japo huwa hakijulikani nini huwa kinaimbwa ila naweza kuelewa unapendwa labda kwa sababu ya makelele yake na jinsi vijana wanavyocheza kwa kukata mauno sana na kurukaruka kwa hiyo labda unaweza kusema una vibe kubwa, ila upenzi wa muziki wa Congo kwa wabongo sijawahi kuelewa umetokana na nini hasa.
Wewe rhumba hulijui utamu wake achana kabisa na hiyo kitu

Sikia hii kitu ya Fally akimsifia mke wa papa Eric Mandala Maria
Sikia na hii kitu ya le Padré 100kilos

Aisee achana na mziki wa kicongo pesa zikiwepo na tubia tuwili tutatu ndani ya kiti kirefu.
 
Umaarufu na kupendwa sana kwa muziki wa Congo(DRC) imetokana na nini wakati hata raia wa nchi hii hasa wapenzi wa huo muziki hata hawajui lugha za Kifaransa, Kikongo au Kilingala?

Amapiano japo huwa hakijulikani nini huwa kinaimbwa ila naweza kuelewa unapendwa labda kwa sababu ya makelele yake na jinsi vijana wanavyocheza kwa kukata mauno sana na kurukaruka kwa hiyo labda unaweza kusema una vibe kubwa, ila upenzi wa muziki wa Congo kwa wabongo sijawahi kuelewa umetokana na nini hasa.
Baada ya Tanzania kufirisika, ninaenda Nairobi, Luanda na Lusaka kufuata live za Congo
 
Back
Top Bottom