Kubali usikubali, Waafrika tuna matatizo makubwa sana ya akili
Hapo kwenye kuipambania ndio mtiti ulipoMkuu, mzungu hakupi economic advantage bure bali unaipambania, the world is not fair, ukilaliwa ni kwasababu umeruhusu kulaliwa
Viongozi ni reflection ya wale wanaowaongoza. Ukiona viongozi wana tabia fulani fulani ujue na wananchi nao ni mule mule.Andiko Bora kabisa, uduni na umaskini wa hili bara chanzo ni sisi watu weusi, viongozi wetu wengi wamejaa ubinafsi, tamaa, RUSHWA, na ukosefu wa maono
Huko facebook na google una uhakika hakuna waafrika? Miaka kadhaa hapo nyuma kulikuwa na mwafrica kutoka ivory coast alikuwa ceo wa benk moja nimeisahau jina ila ipo world wide hata head of project ya teknolojia ya fiber inayotumika kwenye internet alikuwa mtu mweusi kutoka ghana hata yule ndugu yetu mtanzania mwenzetu alieajiriwa kampuni ya Boeing na mpaka kuajiriwa kampuni ya Boeing sio mchezo huyo ni kichwa kweli kweli ...kwa kifupi wapo wengi mno hamuwaoni sababu nyie mmebase kwenye negativityWachina na wahindi wako wapi?
Sikatai Kuna waafrika wanakuwa exceptional huko majuu ila mbona tunapigwa gepu sana? Hadi makampuni kama google, Facebook, WhatsApp wamejaa wahindi na wachina
Sisi tunaongoza wapi? Usikute watu wanaenda kushine kwenye vyuo vya mziki 😂
Kwamba yote yanayosemwa kuhusu south africa ni uongo wa Elon musk na Trump? Kwamba Eskom haijafeli? Kwamba Saps hawajazidiwa nguvu na vibaka? Kwamba ufisadi wa wakina Remtullah akishirikiana na government officials ulikuwa ni wa uongo tu? Think twice man.Naona vyombo vya habari vya magharibi vimeshaaza kuwalisha ujinga.
Ipo hivi ukishaingia mzozo na USA tegemea mambo kama haya atakusiginia kunguni ulimwengu ujue wew ni mbaya machoni pa watu.
S.Africa yanaenda kumtokea Yale ya Northern Korea kwamba S.Africa siyo sehem salama Kwa binadam haya yote ni Kwasababu ya mpuuzi Elon musk na shoga yake trump
Sawa,ila nchi zao zina hali gani? Kuna lolote la maana walilozifanyia nchi zao?Huko facebook na google una uhakika hakuna waafrika? Miaka kadhaa hapo nyuma kulikuwa na mwafrica kutoka ivory coast alikuwa ceo wa benk moja nimeisahau jina ila ipo world wide hata head of project ya teknolojia ya fiber inayotumika kwenye internet alikuwa mtu mweusi kutoka ghana hata yule ndugu yetu mtanzania mwenzetu alieajiriwa kampuni ya Boeing na mpaka kuajiriwa kampuni ya Boeing sio mchezo huyo ni kichwa kweli kweli ...kwa kifupi wapo wengi mno hamuwaoni sababu nyie mmebase kwenye negativity
Sijipi umuhimu , we unadhani kesho likatokea janga ambalo linahitaji watu takribani bilioni wapunguzwe kwa mkupuo we unadhani hicho kikao cha maamuzi kitakuwa kirefu sana? Wataangalia bara ambalo watu wake ni mzigo mkubwa; mnafutwa wote wanakuja kuchimba madini wenyewe (cheap labor wataitoa hata Sli Lanka au Malaysia huko 😂)Kwa hiyo unajichukia?
Kwani wahindi wamezifanyia nini nchi zao?Sawa,ila nchi zao zina hali gani? Kuna lolote la maana walilozifanyia nchi zao?
Africa ufisadi siyo S.africa tu, Kila nchi Africa ufisadi ni wa kiwango Cha juu, kwann imulikwe S.Africa tu? na siyo nchi nyingine.Kwamba yote yanayosemwa kuhusu south africa ni uongo wa Elon musk na Trump? Kwamba Eskom haijafeli? Kwamba Saps hawajazidiwa nguvu na vibaka? Kwamba ufisadi wa wakina Remtullah akishirikiana na government officials ulikuwa ni wa uongo tu? Think twice man.
Kila nchi hufanya vitu kwa maslahi yake binafsi kwanza.Ntakupa mfano miaka ya 80 zambia alikuwa ndio mzalishaji mkubwa wa copper duniani na uchumi wao ulikuwa mkubwa kuzidi hata baadhi ya nchi za ulaya ikiwemo ureno. Unajua kilichokuja kutokea? Bei ya copper ilishushwa makusudi na watawala wa dunia within few years zambia ikarudi kuwa shithole country ..sasa hujuma kama iz huchangia kuziyumbisha nchi nyingi kiuchumi ila nyie kwa kuwa mnamuona mtu mweupe ni mtu special hamuwezi kukubali hili
Huwezi kuwalaumu wazungu sababu unawapenda sana unatamani ungekuwa kama wao licha ya kuwachinja mababu zako still bado unawapendaKila nchi hufanya vitu kwa maslahi yake binafsi kwanza.
Kwa hiyo kuwalalamikia wazungu kwa hujuma ni excuse zisizo na msingi.
Kwa nini tusipambane kivyetu vyetu?
Ww umevumbua nini au mitaro ya dsmKina Isaac Newton walioishi karne ya 17 walikuwa na akili za kuvumbua laws mbalimbali za kifizikia zinazotumika hadi leo hii kwenye nyanja za kimaisha.
Wakati huo akili za waafrika zilikuwa kwenye kula wadudu, mizizi, matunda na kuishi maporini kama wanyama.
Tukubali tusikubali, Mzungu ana akili kuliko mwafrika.
Na mzungu ataendelea kuwa na akili kuliko mwafrika.
Sijavumbua kitu.Ww umevumbua nini au mitaro ya dsm
Wazungu watabaki kuwa bora na ndio wameleta maendeleo makubwa duniani karibu kwenye nyanja zote za kimaisha.Huwezi kuwalaumu wazungu sababu unawapenda sana unatamani ungekuwa kama wao licha ya kuwachinja mababu zako still bado unawapenda
Kwanini sisi tuwaruhusu watupangie bei? Mbona sisi hatupangi zao? Huoni utetezi wako hauna mashiko?Ntakupa mfano miaka ya 80 zambia alikuwa ndio mzalishaji mkubwa wa copper duniani na uchumi wao ulikuwa mkubwa kuzidi hata baadhi ya nchi za ulaya ikiwemo ureno. Unajua kilichokuja kutokea? Bei ya copper ilishushwa makusudi na watawala wa dunia within few years zambia ikarudi kuwa shithole country ..sasa hujuma kama iz huchangia kuziyumbisha nchi nyingi kiuchumi ila nyie kwa kuwa mnamuona mtu mweupe ni mtu special hamuwezi kukubali hili
Sawa nchi ilikuwa na changamoto kibao ni nini maana ya kutaka kuongoza?si ni kwamba umeona pale wenzako walishindwa kufanya unapaweza?na walipewa,right?South africa viongozi weusi walirithi nchi ikiwa tayari ina changamoto kibao hayo unayaona ni matokeo ya hizo changamoto...ninachoona hapa unacheza race card kuonyesha kwamba wazungu walikuwa perfect ingawa ukwelisio huo.