Kwa Nini Mwafrika Hana Maajabu kokote aendako? Kifo cha Ndoto ya South Afrika kutoka Nuru ya Bara mpaka kuwa taifa linaloenda kufeli

Mawazo kama yako nayo ni tatizo kwa waafrika,ukimtoa Nelson Mandela ni rais gani alieondoka bila kashfa ya ufisadi?
Au wakati wa utawala wa kaburu ufisadi ulikua kama huu ulivyo kipindi hichi cha utawala wa waafrika wenzetu?
Shida yetu waafrika tunafanya makosa kisha tunatafuta wa kumsingizia huku tunajua shida imetengenezwa na viongozi.
Inamaana Elon na Trump ndio wanaosababisha serikali ya S.Africa itawaliwe kwa rushwa na ufisadi?
 
Ni kweli unalosema lipo na huwezi kuwalaumu watu wanaotoa kauli kama hizo.
South africa ni mfano mmoja wapo unaopelekea watumiaji wa kauli kama hizo kupata nguvu,haiwezekani toka mwafika aanze kuongoza S.Africa ndio matatizo yaanze kuongezeka.
 
Lakini huwezi kulinganisha na matatizo kama ya nchi zetu za kiafrika ambazo asilimia kubwa ya matatizo yanatokana na sera mbovu na usimamizi mbovu wa rasilimali.
Changamoto hata zikitatuliwa huwa haziishi zinaibuka nyingine. Ndio maana taifa kama marekani licha ya kuwa limeendelea lakin mpaka leo lina changamoto kibao ikiwemo mahomeless na madawa ya kulevya
 
Ikifika pahala tumeanza kujikosoa wenyewe na kujilaumu sisi wenyewe kwa matatizo yanayotukumba, si muda mrefu tutaanza kujiuliza tunafanyaje, na kisha tutapata majibu sahihi, na tutatoka katika giza tulilomo.
 
Bado shida ni ileile kushuka kwa bei ya shaba inaweza ikawa sababu,lakini je serikali ilifanya nini ku maintain uchumi wao? Kwamba hakukua na rasilimali nyingine? Inamaana hawakuwa na ubunifu mwingine.
 
sasa hujuma kama iz huchangia kuziyumbisha nchi nyingi kiuchumi ila nyie kwa kuwa mnamuona mtu mweupe ni mtu special hamuwezi kukubali hili
The world is not fair mkuu, umekubali kucheza huu mchezo unaitwa liberalism/free market economy basi soko ndio linaamua bei ya bidhaa yako, hawawezi wakaharibu profit zote za migodi ya copper duniani kwasababu ya Zambia peke yake
 
Kwani wahindi wamezifanyia nini nchi zao?


1. Utafiti wa Anga
Chandrayaan-3 (2023): India ilikuwa nchi ya kwanza kutua karibu na Ncha ya Kusini ya Mwezi.

Mangalyaan (2014): India ilikuwa nchi ya kwanza kufika Mirihi (Mars) kwa jaribio la kwanza na kwa gharama ndogo.

Aditya-L1 (2023): Satelaiti ya kwanza ya India kwa ajili ya utafiti wa Jua.

Gaganyaan (Inayokuja): Mpango wa kwanza wa India wa safari za anga za binadamu, unatarajiwa mwaka 2025.

2. Teknolojia ya Nyuklia na Ulinzi
Majaribio ya Nyuklia ya Pokhran (1974, 1998) India ilionyesha uwezo wake wa nyuklia.

Makombora ya Agni na BrahMos: Teknolojia ya hali ya juu ya makombora iliyotengenezwa kwa kushirikiana na Urusi.

INS Arihant: Nyambizi ya kwanza ya nyuklia ya India, ilianza kutumika mwaka 2016.

3. Tiba na Bioteknolojia
Chanjo ya Covaxin (2021): Chanjo ya kwanza ya COVID-19 ya India, iliyotengenezwa na Bharat Biotech.

Uzalishaji wa Dawa za Bei Nafuu: India inajulikana kama "pharmacy of the world" kwa kutengeneza dawa kwa bei nafuu.

Chanjo ya Rotavirus (2015): Chanjo ya bei nafuu dhidi ya ugonjwa wa kuhara, imeokoa mamilioni ya maisha.

4. Teknolojia ya Habari na Supercomputers
Supercomputers za PARAM: India ilitengeneza supercomputer yake ya kwanza mwaka 1991 na inaendelea kuboresha uwezo wa kompyuta zake.

Mfumo wa Aadhaar (2010): Mfumo mkubwa zaidi wa utambulisho wa kibayometriki duniani.

Maendeleo katika 5G na Akili Bandia (AI): India inawekeza kwa kasi katika teknolojia ya 5G na AI.

5. Nishati Safi na Mazingira
Muungano wa Kimataifa wa Nishati ya Jua (2015): India inaongoza mpango wa kimataifa wa matumizi ya nishati ya jua.

Mpango wa Hidrojeni Kijani (2023): Lengo ni kuongoza katika uzalishaji wa nishati safi ya hidrojeni.

6. Hisabati na Mchango wa Kale

Ugunduzi wa Namba Sifuri: Mwanahisabati Aryabhata (Karne ya 5) anahusishwa na uvumbuzi wa namba sifuri.

Mfumo wa Desimali: India ilichangia pakubwa katika maendeleo ya mfumo wa namba wa kisasa.

Mafanikio haya ya India yanaonyesha uwezo wake wa kuvumbua na kushindana katika jukwaa la kimataifa huku ikichangia maendeleo endelevu.
 
Mzee ivi unajua kwann nimemuingiza Elon musk na trump katika Mikasa inayotokea now S. Africa? Unaweza Kuta hujui!

Shida ni ujuaji mwingi afu kichwa box, Hivi ni taifa Gani Africa ambalo halina mashtuma ya ufisadi, karbia Kila taifa Africa Lina hizi shutuma tunatofautiana viwango tu.

Je kama Kila nchi ikiwemo nchi uliyomo wew poyoyo ina izi shutuma za ufisadi why isemwe S.Africa tu na siyo Africa Kwa kw ujumla
 
Kwasababu hata kabla ya hili Sakata la Elon Musk South Africa ilikua tayari in the process of failing
 

Pamoja na kuwa sijasoma post yako...
Nafikiri humjui Dr. Osato Osemwengie - huyu Mnigeria ndiye tegemeo la wamarekani kwenye kutengeneza na kubuni Drone za kivita na vifaa vya kwenda Anga za mbali
 

WE JAMAA UNASIKITISHA SANA
 
M
Poyoyo! Wewe ndio poyoyo sababu umeshindwa kuelewa kama mtoa mada kaielezea S.Africa kama mfano wa matatizo ya akili za kiafrika zilivyo.
 
Inawezekana hujui chanzo cha mgogoro wa congo,viongozi wakijua kusimamia rasilimali za nchi vizuri na wakabaki kujineemesha wenyewe raia hawawezi kuvumilia,hivi ni kweli kwamba mabeberu ndio wanasababisha serikali ya congo kushindwa kuwalipa mishahara wanajeshiwake?
Je ni mabeberu ndio wanasababisha raia wakose uzalendo kwa jeshi lao?
Mabeberu ndio wanasababisha serikali ya congo kushindwa kuwa na jeshi imara na siraha za kisasa kuweza kuwadhibiti M23?
Bado jibu naona shida ni uongozi.
 
South africa viongozi weusi walirithi nchi ikiwa tayari ina changamoto kibao hayo unayaona ni matokeo ya hizo changamoto...ninachoona hapa unacheza race card kuonyesha kwamba wazungu walikuwa perfect ingawa ukwelisio huo.
Watu waongo kama wewe ndiyo wanafanya Afrika izidi kudididmia. Badala ya kujua udhaifu wetu trekebishe tunapeleka lawama kwingine.
 
Jamaa anapiga bla bla bla tu. Hana point. Sisi watu weusi hatuwezi kujitawala. Mwambie aonyeshe sehemu yoyote yenye ngozi nyeusi ambayo imepata maendeleo na kuwa katika listi ya nchi zilizoendelea.
 
Mimi naiona Tz nayo inafuata humo humo,hakuna nchi imekosa ubunifi kama Tz,Mimi nina wasiwasi huenda kuna michango ya vita za ukrain na Russia,
Mnaacha watu wanalima alafu mnawakopa,hii haiendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…