Kwa nini Mwigizaji na Producer maarufu wa Bongo Movie Jacob Steven anaitwa JB na sio JS?

Kwa nini Mwigizaji na Producer maarufu wa Bongo Movie Jacob Steven anaitwa JB na sio JS?

huyu huyu JB?

Mi nadhani ni Just Business!!! kwa sababu jamaa alianza biashara zamani sana toka '99 akiwa anauza mahindi toka morogoro kuja dar es salaam!

hivyo basi, JB ni Just Business!


 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom