Kwa nini naiheshimu baby walker yangu

Sijanunua ni gari ya urithi..ni 1KZ -TE..bila shaka umeshaelewa
 
Hilux Surf mkuu...najisikia fahari kuendesha baby walker mbili kwa mpigo mkuu..hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ngoja nipambane na cc 1490 ...kwa Sasa naona zinanitosha saana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kikatiti...usishangae kupanda daladala na kondoo wanne mpaka sita.[emoji112][emoji112][emoji112][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kikatiti...usishangae kupanda daladala na kondoo wanne mpaka sita.[emoji112][emoji112][emoji112][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huko kikatiti Kila ijumaa Kuna mnada....daladala zinazokwenda huko zimechoka mpaka tuziita kichaka au banzi..
Huko saa ya kurudi ni kawaida Sana kondoo kupakiwa kwenye buti au wakati mwingine mteja anachukua siti nne za nyuma yanajaa makondoo..

Tunashukuru polisi siku hizi wameingilia Kati
Ilikuwa unapanda daladala unafika home unanuka Kama kondoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuwa proud na ulichonacho kama uwezo wako ni baby walker shukuru hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…