Kwa nini naiheshimu baby walker yangu

Kwa nini naiheshimu baby walker yangu

Sio kweli kwamba baby Walker inaashiri ndiyo gari la Kwanza kumiliki...
Kuna watu wameingia kwenye SUV moja kwa moja...na Kuna watu wanamiliki baby Walker kwa Mara ya tatu au zaidi...
Suala la kumiliki baby Walker au SUV ni utashi wa mtu na kipato....

Kuhusu ukorofi barabarani siyo kweli...
Watanzania wengi ambao tumekulia familia za kimasiki tukija kufanikiwa ukubwani tunaanza kujiinua...utakuta mtu Ana prado anajitutumua Kama vile vile Prado ndiyo gari za thamani zaidi duniani.
Kwa hiyo misifa barabarani ni asili yetu watz bila kujali unamiliki Toyo, baby Walker au SUV
Kama unajua kusoma na kuandika nilisema "uzoefu unaonesha" mtu alietoka kutembea kwa miguu au kutumia usafiri wa umma hua ana hulka ya kua na matumizi madogo haswa pale unapofikia muda anataka kumiliki chombo cha usafiri ni nadra sana mtu anunue gari lake la kwanza liwe SUV linaloanzia 3000CC 98% ya wanunuzi wa gari kwa mara ya kwanza huanzia kununua magari ya 990CC - 1500 wakizidi sana ni 2000CC na miongoni mwa hayo ya 990-1500CC ni baby walker na baby walker hua zinafujo sana barabarani hauwezi kukubali hilo maana wewe ni miongoni mwa baby walkers wale wanaopenda kuweka mafuta 15,000-20,000 wanataka watembelee na gari wiki nzima kwa mafuta hayo hayo..
 
Wana akili za kitoto sana aisee, hasa kwenye kukazia bila sababu ya msingi ukitaka kumu overtake ndio balaa unaona ghafla ki passo kinapepea kuonyeah kwamba SUV yako si chochote
Hao unaoona Wana fujo...hizo gari hawajanunua wao...pengine walipewa zawadi siku ya graduation..
Mwanaume aliyepambana akanunua gari kwa pesa make lazima awe na nidhamu barabarani
 
Na usishangae ni memba wa jf humu anaetamba kuwa na goodlife
Na Kuna huyo aliyeshikwa makalio na mwanaume mwenzake....so ajabu naye ni member huku na anamiliki SUV[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_1539160746795.jpeg
 
Kama unajua kusoma na kuandika nilisema "uzoefu unaonesha" mtu alietoka kutembea kwa miguu au kutumia usafiri wa umma hua ana hulka ya kua na matumizi madogo haswa pale unapofikia muda anataka kumiliki chombo cha usafiri ni nadra sana mtu anunue gari lake la kwanza liwe SUV linaloanzia 3000CC 98% ya wanunuzi wa gari kwa mara ya kwanza huanzia kununua magari ya 990CC - 1500 wakizidi sana ni 2000CC na miongoni mwa hayo ya 990-1500CC ni baby walker na baby walker hua zinafujo sana barabarani hauwezi kukubali hilo maana wewe ni miongoni mwa baby walkers wale wanaopenda kuweka mafuta 15,000-20,000 wanataka watembelee na gari wiki nzima kwa mafuta hayo hayo..
Sasa mafuta ya elfu 15 au 20 ukitembelea wiki nzima huoni ni raha[emoji3][emoji16]
 
Sasa mafuta ya elfu 15 au 20 ukitembelea wiki nzima huoni ni raha[emoji3][emoji16]
Si ndo maana mnajitetea wewe na baby walkers wenzako...kwa kiwango chako ni raha kwa wengine ni karaha body size ndogo, kushindwa kwenda popote..etc
 
Si ndo maana mnajitetea wewe na baby walkers wenzako...kwa kiwango chako ni raha kwa wengine ni karaha body size ndogo, kushindwa kwenda popote..etc
Body sizes ni kwa nje tu...Sasa kwa taarifa yako gari Kama spacio ndani ina nafasi nzuri kukiko hata hizo baadhi za suv...
Mfano ukikaa ndani ya Prado TX siti ya nyuma kwa mtu mrefu magoti yanabanwa kuliko kukaa ndani ya spacio
 
Mara nyingi uzoefu unaonesha wanaoendesha baby walker ni wamiliki wa kwanza wa magari yani hawajawahi kumiliki gari kwanza pili wenye SUV angalau hilo hua sio gari lake la kwanza shida ya wamiliki wa baby walkers ni hua na akili za kitoto yani barabarani ni wasumbufu sana..ukiomba site mara wanakukazia, ukitaka kwenda hivi mara kakikimbizs kigari chake ndo maana wanaishiwa kudharauliwa wengi hua wanapapara mara kahama huku yani fujo na vurugu tupu
Mwenye Passo analikazia Land Cruizer Amazon njia ya kwenda Dodoma.

Hadi ana overtake kabisa, sijui anapata wapi hiyo courage.

Tulicheka sana.
 
I'm proud of my baby Walker coz najua inavyonisaidia...
Hao wenye Prado tuwaache waendeleze dharau....ila mwisho wa siku watambue wote tunauziwa petrol Bei moja[emoji16][emoji16]
Uzuri wa baby walker, trip za mjini huumizi kichwa kama hela ni ya mawazo.

Kwenye safari ndefu na nje ya mji, baby walker mnasumbuka sana.
 
Body sizes ni kwa nje tu...Sasa kwa taarifa yako gari Kama spacio ndani ina nafasi nzuri kukiko hata hizo baadhi za suv...
Mfano ukikaa ndani ya Prado TX siti ya nyuma kwa mtu mrefu magoti yanabanwa kuliko kukaa ndani ya spacio
Hahaha daah kweli wewe ni jambo lingine kwaio unalinganisha Spacio na Prado..Spacio imeacha kutengenezwa tangu 2009 yani unafananisha baskeli na gari mkuu duu kisa siti ya nyuma daah unafeli sana mkuu..sema Prado ya mwaka gani na Spacio ya mwaka gani? Kwamba Spacio ina body size ndogo kwa nje na ndani ni kubwa?
 
Hahaha daah kweli wewe ni jambo lingine kwaio unalinganisha Spacio na Prado..Spacio imeacha kutengenezwa tangu 2009 yani unafananisha baskeli na gari mkuu duu kisa siti ya nyuma daah unafeli sana mkuu..sema Prado ya mwaka gani na Spacio ya mwaka gani? Kwamba Spacio ina body size ndogo kwa nje na ndani ni kubwa?
Mzee baba tutatengeneza ligi ambayo haina mwisho..
Ok..ok..ok tumeshaelewa unamiliki SUV..

Mimi ninamioiki baby Walker na mker ni NISSAN

Bado hujatuweka wazi maker wa SUV yako ni Nani.. Toyota,Nissan,BMW,VW ,Range au Ford.
Pia ni vyema ukituwekea uliinunua hela ngapi[emoji39][emoji39][emoji39]
 
Pamoja na umuhimu wa kuwa na gari binafsi kama hoja iliyo mezani inavyoelekeza. Hivi sisi kama taifa/ jamii iliyostaarabika , hatuwezi kuwa na mfumo wa usafirishaji wenye hadhi na staha kwa watu wake? mambo yafuatayo yafanyike :-
  1. DART waongeze mabasi.
  2. Abiria wapange foleni, waingie kwa kufuata foleni.
  3. Watu wakae level sit ikibidi excess ya watu wachache wanao askari wa ku-enforce hii kitu.
  4. Mabasi yaanzie katika kati ya route (baadhi), sio lazima yote yaanzie terminal,
  5. Ni kweli tuweke jitahada za kupata hivyo vi-baby walker, lakini tu-demand kupata usafir bora na wenye staha, ni haki yetu, haiingii akilini kuwekeza investement kubwa kwenye ujenzi wa DART kama adha ya usafiri haitatuliwi.
 
Pamoja na umuhimu wa kuwa na gari binafsi kama hoja iliyo mezani inavyoelekeza. Hivi sisi kama taifa/ jamii iliyostaarabika , hatuwezi kuwa na mfumo wa usafirishaji wenye hadhi na staha kwa watu wake? mambo yafuatayo yafanyike :-
  1. DART waongeze mabasi.
  2. Abiria wapange foleni, waingie kwa kufuata foleni.
  3. Watu wakae level sit ikibidi excess ya watu wachache wanao askari wa ku-enforce hii kitu.
  4. Mabasi yaanzie katika kati ya route (baadhi), sio lazima yote yaanzie terminal,
  5. Ni kweli tuweke jitahada za kupata hivyo vi-baby walker, lakini tu-demand kupata usafir bora na wenye staha, ni haki yetu, haiingii akilini kuwekeza investement kubwa kwenye ujenzi wa DART kama adha ya usafiri haitatuliwi.
Una hoja nzuri Sana
Lakini sirikali yetu si unaijua babaangu..
imejikita katika kuunga mkono hoja na kusifia awamu hii zaidi kuliko kutatua kero za wananchi
 
Tatizo unadhani huwa ni kuwa na usafiri, tatizo ni kuwa na usafiri halafu ukaanza kuvimbiana na wenye magari yao. Ukianza oo hii passo ni noma, speed 180 sijui ina pulling ya kipekee, juzi nimemwacha jamaa ana vx kama kasimama maeneo ya bagamoyo ndo utawaona sasa wajuaji magari wakikuelekeza kwamba una usafiri tu na majina kama unaendesha baby sijui walker yanazaliwa. Ukiwa na gari yako ya kawaida we itumie kwa raha zako, endesha udhaifu wako kwa amani usitake ligi na wengine.
 
#4, 7 & 10 ni FURSA, sio KERO.
Ndugu zangu...
Picha nilizotupia zinajieleza..
Ukitafakari adha ya usafiri wa jumla mfano mwendo kasi, basi huna budi kuheshimu chombo cha usafiri ambacho mwenyenzi Mungu amekujalia kuwa nacho.

Imezoeleka sana watu wanaomiliki SUV na magari mengine makubwa kuwanyanyapaa wamiliki wa magari madogo mfano passo,vitz, ist, March to mention the few.

Ukitafakari kero za usafiri wa jumuiya, basi utagundua kuwa gari unalomiliki ni la thamani kubwa kwa sababu gari hilo linaweza kukusaidia kuondokana na adha zifuatazo..

1.kuchelewa kazini/kwenye biashara yako

2.kuepuka kero ya kubanana ukizingatia joto la Dar....kwa Arusha msimu wa baridi ni kero kubwa unakuta watu wamejifungia vioo vyote ndani ya daladala..ukipanda tu unahisi kuishiwa pumzi...vioo vyote vinakuwa na ukungu...kama unaugua pumu hapa utakiona cha moto.

3.kero ya kushikwa kiuno na mwanaume mwenzako

4.Kero ya kujikuta umelaza kichwa chako kwenye matiti ya mke wa mtu

5.kero ya kuchanganywa na mifugo ndani ya daladala...hii ipo sana Arusha huko Ngaramtoni na Kikatiti...usishangae kupanda daladala na kondoo wanne mpaka sita.

6.Matusi. wahudumu wengi wa daladala wana lugha chafu sana za kukukera na kukuharibia siku.

7. kijana mdogo wa kiume kujikuta umemshika mama mtu mzima kiuno ili usidondoke. Adha gani hii?

8.Msimu wa joto unaweza kubanana na jamaa ananuka jasho,kikwapa na wakina dada baadhi wananuka mawigi kama gari la kubeba ngozi....kuwaambia huwezi coz huwalipii nauli wewe

9.Kuibiwa....ni swala la kawaida sana kuibiwa simu au wallet wakati unagombania siti

10. Wadada wenye shepu zao unabanana nao unakuta wamekugeuzia makalio.....basi huwa ni tafrani tupu kwa vijana rijali

11.na kero nyingone nyiiingi ambazo sijaziweka hapa

Hitimisho.
Wewe mmiliki wa baby walker usijihisi mnyonge kisa jamaa anaendesha prado. Wote mpo ndani ya gari, wote hamnyeshewi, wote hamuungui na jua, wote mnakula kiyoyozi, wote mnauziwa peteol bei moja
na mwisho kabisa tusidharau chombo cha mtu...hakuna chombo cha moto kinachouzwa laki mbili
View attachment 1067431View attachment 1067435View attachment 1067437View attachment 1067440

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi uzoefu unaonesha wanaoendesha baby walker ni wamiliki wa kwanza wa magari yani hawajawahi kumiliki gari kwanza pili wenye SUV angalau hilo hua sio gari lake la kwanza shida ya wamiliki wa baby walkers ni hua na akili za kitoto yani barabarani ni wasumbufu sana..ukiomba site mara wanakukazia, ukitaka kwenda hivi mara kakikimbizs kigari chake ndo maana wanaishiwa kudharauliwa wengi hua wanapapara mara kahama huku yani fujo na vurugu tupu
Na ndo shida yetu kubwa. Una passo halafu unataka recognition badala ya kuwa mpole.
 
Body sizes ni kwa nje tu...Sasa kwa taarifa yako gari Kama spacio ndani ina nafasi nzuri kukiko hata hizo baadhi za suv...
Mfano ukikaa ndani ya Prado TX siti ya nyuma kwa mtu mrefu magoti yanabanwa kuliko kukaa ndani ya spacio
usianze ligi mkuu. hizo gari si za kubishania na SUV, zina uzaifu mwingi sana, watakudharau wanayoyajua magari. we tulia na gari yako usitake recognition.
 
Back
Top Bottom