ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,652
Bwana mdogo karudi darasani ujifunze upya ku present point zako. halafu Huku kujidai kujua kila kitu na kubisha bisha ndiko kunakowaponza vijana kama wewe. Unataka afanye utafiti gani zaidi ya huo .Ebu acha kuleta theories za darasani ambazo humu haziwezi kamwe kufanya kazi hapa tunaongea kwa uzoefu.
Umepiga ikulu hapo mkuu, ndo maana unaona hasira zote hizo.