Kwa nini ndoto haziji zikiwa na ujumbe moja kwa moja?

Kwa nini ndoto haziji zikiwa na ujumbe moja kwa moja?

kidonto

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
1,961
Reaction score
2,918
Habari,

Sidhani kama kuna binadamu ambaye haoti ndoto! Kwanini Ndoto nyingi tunazoota, ukitafuta Tafasiri za ndoto toka kwa watu wa kiroh zinakupa ujumbe tofauti na ulivyoota!

Mfano:
~ Utaota unagalagala kwenye kinyesi, tafsiri itasema utapata pesa nyingi karibu!

~ Utaota unapigana na vibaka tafasiri itasema tofauti na ulivyoota!

Kwanini hatuoti ujumbe straight!?
 
Kwa mtazamo wangu ni kuwa ndoto ni matokeo ya vitu vinavyotokea Rohoni.

Changamoto kubwa sisi umeacha asili yetu na kushika asili za wazungu au waarabu kwa mwamvuli wa Kitu kinaitwa Dini.

Ndo maana mambo ya Rohoni hatuelewi maana Tunakuwa wageni huko.
 
Back
Top Bottom