Kwa nini ndoto zangu zangu zinaishia njiani na kubadilika?

mkulimasana1

Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
43
Reaction score
13
Wakuu,naomba elimu.Kwa nini ndoto ninazoota haziendelei/hazifiki mwisho wake? Na mara nyingi hubadilika sana (ndani ya ndoto moja[sijui niite usingizi mmoja? yaani kusinzi mara ya kwanza kabla ya kufumbua macho tena] haikamiliki na hubadilika hata zaidi ya mara tatu).Asanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…