Kwa nini nguruwe anaitwa noah humu JF?

Kwa nini nguruwe anaitwa noah humu JF?

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Kumekuwapo na utumiaji wa jina la noah pale ambapo panamaanisha nguruwe mnyama aka mdudu, na hiyo lugha hasa nimeipata humu JF. Naombeni kuuliza, nguruwe aliitwa noah kutokana na gari aina hiyo kufanana na mnyama huyo, au kuna sababu nyingine?

attachment.php
 
hahahaaaaaaaa kumbe jibu unalo Mpwa wangu? Duh ILA hio kitu imenona sana, ni picha au yupo ili nikuPM? zumbemkuu njoo Kuna mboga huku
 
Last edited by a moderator:
Kumekuwapo na utumiaji wa jina la noah pale ambapo panamaanisha nguruwe mnyama aka mdudu, na hiyo lugha hasa nimeipata humu JF. Naombeni kuuliza, nguruwe aliitwa noah kutokana na gari aina hiyo kufanana na mnyama huyo, au kuna sababu nyingine?

attachment.php

mkuu mbona ushatoa majibu mwenyewe?dah mimi hapo kwenye tairi la nyuma la huyo noah(----),kula sanaaaaaa
 
Matairi ni miguu, vioo ni macho, masikio ni side mirror, pua ni headlamps. Haya sema jingine
 
Nani kakwambia nguruwe aitwe noah
noah ni gari
nguruwe ni mnyama
ni hayo ukikataa mtafute uliyeona akisema humy JF
 
hahahaaaaaaaa kumbe jibu unalo Mpwa wangu? Duh ILA hio kitu imenona sana, ni picha au yupo ili nikuPM? zumbemkuu njoo Kuna mboga huku
Ha ha haa, huyo alipigwa picha dakika chache kabla hajaangushwa kwa jirani, ilikuwa siku moja kabla ya krismas, ila nilichukua kilo za kutosha zipo kwenye friji, huwa nakata kidogo kidogo!
 
Sasa hizo taa za mbele zikikaangwa ni tamu sana. Zinakuwa kama keki.
 
hahaha, wadau nasikia eti anasababisha kifafa, mkuu Elli ni kweli au ni propaganda za mashekhe wenye kijicho
 
Last edited by a moderator:
hahahah hasa baada ya kugundulika ana nguvu kuliko ARVs. Ukimla huyo mdudu, condom tupa kule.

Sijui kwanini vitu vyote vitamu vinaogopwa na kina shemeji...mimi tupiamo hadi masikio,kinachotupwa ni manyoya tu!
 
Ha ha haa, huyo alipigwa picha dakika chache kabla hajaangushwa kwa jirani, ilikuwa siku moja kabla ya krismas, ila nilichukua kilo za kutosha zipo kwenye friji, huwa nakata kidogo kidogo!

hao majirani zako walikuwa wanamchinja siku ya maonyesho?
 
udeeenda yalabi nipe salama,leo namtafuta mwaka huu sijatia makitu hii ata pua siachi!!
dah
 
Back
Top Bottom