Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekuwapo na utumiaji wa jina la noah pale ambapo panamaanisha nguruwe mnyama aka mdudu, na hiyo lugha hasa nimeipata humu JF. Naombeni kuuliza, nguruwe aliitwa noah kutokana na gari aina hiyo kufanana na mnyama huyo, au kuna sababu nyingine?
![]()
Ha ha haa, huyo alipigwa picha dakika chache kabla hajaangushwa kwa jirani, ilikuwa siku moja kabla ya krismas, ila nilichukua kilo za kutosha zipo kwenye friji, huwa nakata kidogo kidogo!hahahaaaaaaaa kumbe jibu unalo Mpwa wangu? Duh ILA hio kitu imenona sana, ni picha au yupo ili nikuPM? zumbemkuu njoo Kuna mboga huku
Nani kakwambia nguruwe aitwe noah
noah ni gari
nguruwe ni mnyama
ni hayo ukikataa mtafute uliyeona akisema humy JF
Nilikuwa nahisi hisi tu kuwa labda kwa kuwa vinafanana, ila sikuwa na uhakika. Sasa nimejiridhisha!
kama kusoma hujui hata picha huoni?Nilikuwa nahisi hisi tu kuwa labda kwa kuwa vinafanana, ila sikuwa na uhakika. Sasa nimejiridhisha!
![]()
Huyu jamaa kaleta heshima sana kwenye afya za wadau
hahahah hasa baada ya kugundulika ana nguvu kuliko ARVs. Ukimla huyo mdudu, condom tupa kule.
Ha ha haa, huyo alipigwa picha dakika chache kabla hajaangushwa kwa jirani, ilikuwa siku moja kabla ya krismas, ila nilichukua kilo za kutosha zipo kwenye friji, huwa nakata kidogo kidogo!
hao majirani zako walikuwa wanamchinja siku ya maonyesho?
![]()
Huyu jamaa kaleta heshima sana kwenye afya za wadau