Kwa Nini nguvu za kiume wanaziita "Umeme"makanisani

Kwa Nini nguvu za kiume wanaziita "Umeme"makanisani

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Umewahi kujiulixa hili

Makanisa mengi ya kiroho wakianza kuombea watu

Kama ULIKUWA HUJUI hili kama ukisikia neno "umeme " nguvu za kiumeee ama za kike

Ukisikia mwenye umeme uliopotea nikujuze nguvu za ....kama una shida hioo kimbilia fasta MBELE ukaombeweee

Badoo nawaza
Hivi ilikuwaje makanisa yotee wakaita nguvu za kiume umeme????wasiite maji

Wale wenye ueleewa kidogo nipeni MSAADA kwenye hili
 
Umewahi kujiulixa hili

Makanisa mengi ya kiroho wakianza kuombea watu

Kama ULIKUWA HUJUI hili kama ukisikia neno "umeme " nguvu za kiumeee ama za kike

Ukisikia mwenye umeme uliopotea nikujuze nguvu za ....kama una shida hioo kimbilia fasta MBELE ukaombeweee

Badoo nawaza
Hivi ilikuwaje makanisa yotee wakaita nguvu za kiume umeme????wasiite maji

Wale wenye ueleewa kidogo nipeni MSAADA kwenye hili
Mpelekee moto, moto, moto....
Umeme ni moto
 
Wansume wote ambao hawana pesa hawana ngivu za kiume

Mchungaji anatafuta nguvu za kiume kwa waumini

Waumini wanapungukiwa ngivu za kiume kwa kumpa mchungaji

Mchungaji anatafuna kondoo na kununua magari

Nguvu za kiume ni pesa
 
Back
Top Bottom