Nimekuwa najiuliza,bila majibu,
Kwa nini ujio wa Nzige unachukuliwa kuwa ni tatizo badala ya fursa?unachohitaji ni nyavu ndogo zilizotegeshwa njia watakayopita.technologia ipo ya kujua hilo.
Nzige ni chakula chenye protein nyingi.usindikaji wake ni rahisi,pia chaweza tumika kusagwa na kulishia mifugo. Kwa nini tutumie gharama nyingi, kuwamwagia Sumu na kuharibu chakula. Hilo pia kwa ndege waharibifu jamii ya Quelea Quelea. Afadhali kidogo hao ndege mtasema vigumu kuwanyonyoa. Au tatizo letu ni jadi ya wengine kutokula wadudu?, Nakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa na campaign ya kimataifa kuhimiza ulaji wadudu, Sina uhakika iliishia wapi.
Kwa nini ujio wa Nzige unachukuliwa kuwa ni tatizo badala ya fursa?unachohitaji ni nyavu ndogo zilizotegeshwa njia watakayopita.technologia ipo ya kujua hilo.
Nzige ni chakula chenye protein nyingi.usindikaji wake ni rahisi,pia chaweza tumika kusagwa na kulishia mifugo. Kwa nini tutumie gharama nyingi, kuwamwagia Sumu na kuharibu chakula. Hilo pia kwa ndege waharibifu jamii ya Quelea Quelea. Afadhali kidogo hao ndege mtasema vigumu kuwanyonyoa. Au tatizo letu ni jadi ya wengine kutokula wadudu?, Nakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa na campaign ya kimataifa kuhimiza ulaji wadudu, Sina uhakika iliishia wapi.