Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau katika pitpita zangu mitaani harufu ya chakula ninayoisikia ni pilau tu,jamani kwa nini pilau tu na isiwe chakula kingine?
Kwetu biriani
...Ya kuku, mbuzi, kondoo au nyama ya ng'ombe? Hapa kwetu naona itakuwa pilau ya sikukuu yenye nyama ya kongwa.
wali mchafu ndo mpango mzima
Biriani mwenziwe ng'ombe 😀
Kongwa ndo mnyama gani? Manake bado kidogo nidhani mko Gambosh mshamkamata kikongwe na kumla nyama 😀
Nyama ya Kongwa inapatikana katika wilaya ya Kongwa kule Dodoma. Kuna ranchi kule wanazofuga ng'ombe, ranchi za Taifa (www.narco.co.tz) ni nyama nzuri sana na ni ile yenye mafuta na pia ni laini sana.
Ndio tabu ya kuita maeneo majjina kama wanyama! Lol
Basi biriani kwa nyama ya Kongwa ndo mwake kabisa na sharbati pembeni