- Thread starter
- #21
Tuna mlaumu mzee wa watu bure,huu Muungano ulikuwa unashida nyingi na kunakundi hasa Zanzibar nikama walilazimishwa kuwa humu,katika tawala zote ilitumika nguzu kubwa kuyaficha haya hata ikiwemo watu kwenda uhamishoni au kuuwawa lakini Kikwete kwakuwa nimuuni wa uwazi akakubari kila mmoja atoe dukuduku lake katika utawala wake,kwanza ndo raisi wa kwanza kukiri nyufa katika muungano nakutumia kila namna kulikabiri hili..
kulikuwa na kero ni kweli. unapotatua tatizo unatakiwa kutoa best solution sio just solution. ukiwa na watoto watatu na mkate mmoja alafu mtoto mmoja akalilia mkate wote kutatua tatizo ukampa mkate wote wale wengine wasio lia wakabaki na njaa sidhani kama hiyo ni best solution.
Muungano huu wazanzibar wameukuta,wengi unaoskia hawautaki hawana sababu mama zaidi ya za kitoto kuwa atapata ubalozi maana wasomi wachache znz.kama kiongozi lazima kuangalia best solution.