Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Russia kwa nini isiitumie BRICS kuipinga Israel na kutumia nguvu ya kijeshi waliyonayo kuiunga mkono ama Hezbollah au Hamas dhidi ya Israel?
Maana Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya na washirika wao wanaiunga mkono Israel.
Maana Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya na washirika wao wanaiunga mkono Israel.