Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,605
- 1,085
Licha ya kulitumbukiza shirikisho la Fifa kwenye kashfa ya rushwa. Blatter anaungwa mkono na nchi maskini za Asia, Amerka kusini na Afrika. hii inaashiria nini?
Tofauti, nchi tajiri za bara la Ulaya, Marekani pamoja na makampuni tajiri ya Cocacola na Adidas wamekaa mbali naye. Nao Viongozi wa nchi Tajiri km Uingereza, Marekana na Umoja wa Mataifa wanataka aondoke.
Tofauti, nchi tajiri za bara la Ulaya, Marekani pamoja na makampuni tajiri ya Cocacola na Adidas wamekaa mbali naye. Nao Viongozi wa nchi Tajiri km Uingereza, Marekana na Umoja wa Mataifa wanataka aondoke.