tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Swali la msingi la kujiuliza, Je kazi zipo? Kama zinatangazwa nafasi tatu na wanaomba watu 2000 nini maana yake?
Wanaosema umuombe Mungu wanataka nani akose?
Wanaosema umuombe Mungu wanataka nani akose?