Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,470
- 722
kila mwanamke anapenda kuolewa, sema tunakutana kila siku na small boys wasiojua thamani ya mwanamke, ndo maana tunapenda kuwa single
alafu wanaume wengine bwana wa ajabu sana, uusipomwabia shida zako anaokuona unadharau, ukimwambia anahisi unataka kumchuma hivi mnataka nini lakini
Tunataka infidelity at lower cost! Vinginevyo ndio kama alivyosema nyamayao hapa chinikila mwanamke anapenda kuolewa, sema tunakutana kila siku na small boys wasiojua thamani ya mwanamke, ndo maana tunapenda kuwa single
alafu wanaume wengine bwana wa ajabu sana, uusipomwabia shida zako anaokuona unadharau, ukimwambia anahisi unataka kumchuma hivi mnataka nini lakini
na mwingine ukimwambia ndio umemkimbiza...kazi kweli.
I only pay for the room and bed! The rest we must share......(aftaroo wote si tunainjoi, tena wanawake wanainjoi zaidi ndio maana wanapiga makelele):fish2:kumbe huchuniki? how much do you pay for infidelity?
She is out.... pole mama!Charity are u there mamito!:roll::roll:
yaani mnashare?...hao wadada kazi wanayo!..sasa ana gain nini kwako?
Unaulizia maiti mochware? (Hayo makelele ya utamu wanayoyapiga si ndio maraha yenyewe?) Wanagain mautamu dada! Wakikamata mautamu ya ukweli wanajikuta wenyewe wanachangia gharama za infidelity actions:fish2:yaani mnashare?...hao wadada kazi wanayo!..sasa ana gain nini kwako?
Mama Matesha anapata huduma for free kwakuwa yeye nilishamnunua thru mahari....acha nishangae nawe!! hao wanawake anaokutana nao inaelekea wanatatizo fulani hv may be psychological prob, they just need a man at that moment no matter if he is maaried.
lakini asprin we ni muongo by paying for the room, je ungekua nyumbani ungelipia kwa mama matesha?
acha nishangae nawe!! hao wanawake anaokutana nao inaelekea wanatatizo fulani hv may be psychological prob, they just need a man at that moment no matter if he is maaried.
lakini asprin we ni muongo by paying for the room, je ungekua nyumbani ungelipia kwa mama matesha?
Unaulizia maiti mochware? (Hayo makelele ya utamu wanayoyapiga si ndio maraha yenyewe?) Wanagain mautamu dada! Wakikamata mautamu ya ukweli wanajikuta wenyewe wanachangia gharama za infidelity actions:fish2:
Mama Matesha anapata huduma for free kwakuwa yeye nilishamnunua thru mahari....
bwana katudanganya, wanawake wa sasa hivi akimshika mume wa watu anagandana nae haswaa...kama hatatoka na ka forrester bac kacmamishiwa kakibanda au japo kakiwanja, hao wa Chriss cjui anawaokotea wapi....
siku hizi ni panadol au asprin cjui.
hawa wa asprin ni wa kufikirika anajifariji hapa, maana leo wallet haitoshi kumpitia dasophy!
jina lake la sasa baya kama nini, cjui kwanni kabadili! hawapo kabisa, lazima anakamuliwa kwa namna moja au nyingine, kimada gani ataangalia utamu wakati yupo kimaslahi zaidi....
hilko jina si ndio kakuambia anagawa dose
hapo sasa, haingii akilini anaenda kuhangaika na mume wa mtu bure! lazima kuna maslahi anafuatilia then anajidai just tunapendana! uongo mtupu!
haa wapi, anaempenda kamwacha home, na huko anafanya faster faster amuwahi...
This is name calling. Ngoja nicheki na invizibo!bwana katudanganya, wanawake wa sasa hivi akimshika mume wa watu anagandana nae haswaa...kama hatatoka na ka forrester bac kacmamishiwa kakibanda au japo kakiwanja, hao wa Chriss cjui anawaokotea wapi....
Another name calling? where is justice?siku hizi ni panadol au asprin cjui.
hawa wa asprin ni wa kufikirika anajifariji hapa, maana leo wallet haitoshi kumpitia dasophy!
Sisi wataalam wa infidelity huwa haturudii vibinti. Ukisha hit una run.. Thats the first law of traditional infidelity. Hiyo forester ataikamatia wapi?bwana katudanganya, wanawake wa sasa hivi akimshika mume wa watu anagandana nae haswaa...kama hatatoka na ka forrester bac kacmamishiwa kakibanda au japo kakiwanja, hao wa Chriss cjui anawaokotea wapi....
You can say that again.thats what we call professional infidelity?
Nakwambia hawa kina dasophy huwa wanachangia gharama kama unawapa huduma stahili. Najua mtabisha lakini ndiyo hali halisi.siku hizi ni panadol au asprin cjui.
hawa wa asprin ni wa kufikirika anajifariji hapa, maana leo wallet haitoshi kumpitia dasophy!
You see? Huo ndio ukweli wenyewe. Huko nje tunaenda kufanya mazoezi. Mechi za mchangani muhimu sana kwa ajili ya kukuza ndoa...haa wapi, anaempenda kamwacha home, na huko anafanya faster faster amuwahi...
Akili ya kuambiwa..... mix with yours!!yani nyamayao ningekua na uwezo wa kuilewa akili ya hawa ndugu zetu wanaume ningefurahi sana. inakuwaje wanaweza kumlaghai mtu nje na mkewe nakupenda nae anakubali? tena waweza kuta mtu zaidi ya mmoja na akirudi home anakudanganya anakupenda
yani nyamayao ningekua na uwezo wa kuilewa akili ya hawa ndugu zetu wanaume ningefurahi sana. inakuwaje wanaweza kumlaghai mtu nje na mkewe nakupenda nae anakubali? tena waweza kuta mtu zaidi ya mmoja na akirudi home anakudanganya anakupenda
Waamke wao hawataki kufaidi? Acha kudanganya wenzio wewe...unatafuta kufa na presha?...tuishi nao tu hivyo hivyo...lakini hapo wa home ndio anapendwa, hao wanaodanganywa nimeoa lakini nakupenda wanatakiwa waamke sasa....
Waamke wao hawataki kufaidi? Acha kudanganya wenzio wewe...
unatafuta kufa na presha?...tuishi nao tu hivyo hivyo...lakini hapo wa home ndio anapendwa, hao wanaodanganywa nimeoa lakini nakupenda wanatakiwa waamke sasa....